Which cup get filled first

Which cup get filled first

namba tatu itajaa kwanza haraka

mod funga thread jibu limeshapatikana
 
Kama hayo matone yatakuwa continuous,bas 3 itajaa haraka! lkn likitoka hilo moja tu, 'km nnavoliona hapo' bas hakuna itakayojaa!!
.......................
 
i think there is the difference btn "cup" and "glass". hapo mi naona glass,km zle za kwny chemistry laboratory "beakers" not cups.

....................
 
Jibu ni 3, yaani hii test nzuri sana kwa vijana wa kizazi cha leo wasioweza kupembua mambo na kuwa makini katika kurudia rudia swali ili upate kuelewa.

Mimi wa zamani nilosoma enzi za nyerere nimerusia rudia mara mbili mbili kuangalia na kugundua.

Kuna sehemu zimezibwa kwenye kikombe namba 4,5 na 6. Pia Namba 7 kumetoboka. Kwahiyo imebaki Namba 1 ambayo inapokea namba 2 ambayo mdomo wa kupoea upo juu na namba 3 angalau mdomo wa kupokea upo juu kidogo.

So nahisi jibu 3.

Hata ukisema namba 2. likijaa maji yanaenda namba 7 yanamwagika so hakuna kujaa hapo kwenye namba 2.

Watoto wa siku hizi NAWAPA WOSIA! muwe mnasoma swali mara mbili mbili kabla hamjajibu!
 
Jibu ni 3, yaani hii test nzuri sana kwa vijana wa kizazi cha leo wasioweza kupembua mambo na kuwa makini katika kurudia rudia swali ili upate kuelewa.

Mimi wa zamani nilosoma enzi za nyerere nimerusia rudia mara mbili mbili kuangalia na kugundua.

Kuna sehemu zimezibwa kwenye kikombe namba 4,5 na 6. Pia Namba 7 kumetoboka. Kwahiyo imebaki Namba 1 ambayo inapokea namba 2 ambayo mdomo wa kupoea upo juu na namba 3 angalau mdomo wa kupokea upo juu kidogo.

So nahisi jibu 3.

Hata ukisema namba 2. likijaa maji yanaenda namba 7 yanamwagika so hakuna kujaa hapo kwenye namba 2.

Watoto wa siku hizi NAWAPA WOSIA! muwe mnasoma swali mara mbili mbili kabla hamjajibu!
Sawa muzee tumeskia
 
eti wakuu, kuna kikombe, "CUP", hata kimoja kwel hapo kwenye mchoro? au me ndo nacomplicate swali...! coz naona glass sio kikombe.
............................
 
Back
Top Bottom