Where to find gamepad for pc in dar es salaam

alexkulwa

Member
Aug 3, 2011
24
3
wana jf nahitaj msaada wa kujua znakouzwa pad za game za computer nmezunguka maduka mengi bila mafanikio kila napoenda zpo pad za playstation pekeyake.yeyote mwenye kunisaidia ntashukuru sana my laptop keypad znaharibika sababu ya kucheza game
 
ow uko sawa mkubwa laptop keypad lazima ziharibike ukicheza sana game,well ukitaka kuzipata nenda kariakoo pale kwenye roundabout pembeni yake kuna maduka ya samsung endelea kutembea ukielekea kwenye stendi ya magari ya mbagala huku ukiangalia upande wa kushoto utaona duka moja la vifaa vya computer,ps2 na tv.Ipo stock kubwa tu,bila shaka utazipata hapo(bei ni shilingi 50,000)
 
hata za ps 2 zakubali kwa pc zile pad zenye usb (sio port normal ya ps2) then bei ya pad ya pc inakua 25,000 mpaka elf 30. Nenda uhuru ile round about kama waenda mnazi mmoja upande wa kulia kuna series ya maduka ya pc uliza kwa msomali i hope utapata
 
thanx guyz kwa msaada i will work on it mana nmezunguka sana.i appreciate ur concern.
 
fika koo ndugu kwenye kituo cha magari ya mbagala kuna mpemba mmoja anauza matoi mengi ya computer, ukifika hapo utapata hizo pad kama unataka za single au double zote zipo pale kwa jamaa..nipe muda nikipita ntakutajia jina la duka hilo lakni kama unaweza kwenda pale lazima utaliona hilo duka lip[o kwenye corner kabisa..
 
kama kang alivosema za 360 ndo nzuri kabisa na games zote za pc ndo zipo pre configured na 360 pads,za PS zitaitaji tweaks kimtindo!
 
Back
Top Bottom