When You Kiss Me

When You Kiss Me

Afadhali maana anaweza kunywa sumu..... the same kwa swt wangu Wilbald



ha ha ha .... utanisamehe nafuta post yako, kisije kibao kikanigukia kua ni inferior kiasi cha kunywa sumu...lol
I beg to differ Gaga... he is a strong man....lol
 
ha ha ha .... utanisamehe nafuta post yako, kisije kibao kikanigukia kua ni inferior kiasi cha kunywa sumu...lol
I beg to differ Gaga... he is a strong man....lol
Hakuna strong man linapokuja kwa kipoza roho chake
 
Si umehamia kwa romance, yaani huyu mtoto kaingia na kuharibu ndoa za watu hapa!!!! si unaona ashadii anavolalamika pia
Ngoja ni kujibu kama yesu..."wewe wasema"
lakini mpenziii? romance simuda mfupi tuu jamani! na baada ya romance siunajua tena mi ning'ono tuuuuuuuuu!hadi basi.
Ashadii hajalalamika wala hajui kinachoendelea.

mmh! Sijui tuwahi dar express ya mwisho au tuchukue la private nini mpenzi.
 
Ngoja ni kujibu kama yesu..."wewe wasema"
lakini mpenziii? romance simuda mfupi tuu jamani! na baada ya romance siunajua tena mi ning'ono tuuuuuuuuu!hadi basi.
Ashadii hajalalamika wala hajui kinachoendelea.

mmh! Sijui tuwahi dar express ya mwisho au tuchukue la private nini mpenzi.
Hujaona la aziz wake alivokuwa anachati na romance kwenye thread hii? pitia usome na post ake hapo juu alikuwa analalamika
 
Ngoja ni kujibu kama yesu..."wewe wasema"
lakini mpenziii? romance simuda mfupi tuu jamani! na baada ya romance siunajua tena mi ning'ono tuuuuuuuuu!hadi basi.
Ashadii hajalalamika wala hajui kinachoendelea.

mmh! Sijui tuwahi dar express ya mwisho au tuchukue la private nini mpenzi.
Kwani D tunapanda basi kwenda arusha au ndege?
 
Namwelewesha hapo sweet wangu naona hajaelewa


Acha mambo yako... hapa nalinda mwenyewe!! Ngoja tu huyu binti (sitaki hata kumtaja jina...aalaaa!!!)
aje atajua kua mimi ni nani...lol.. Nenda na wako dear.. yaani usimridhishe kisa wengine wamegombana??? sikuelewiii
 
Ngoja ni kujibu kama yesu..."wewe wasema"
lakini mpenziii? romance simuda mfupi tuu jamani! na baada ya romance siunajua tena mi ning'ono tuuuuuuuuu!hadi basi.
Ashadii hajalalamika wala hajui kinachoendelea.

mmh! Sijui tuwahi dar express ya mwisho au tuchukue la private nini mpenzi.


Wilbad usimchekee Gaga mimi na Sweetie mambo SHWARIIIII...
Huyu Binti haoni ndani kwangu...
 
I can see you with me when I'm older
All my lonely night are finally over
You took the weight of the world off my
shoulders

FOr you sweetie
 
Kwani D tunapanda basi kwenda arusha au ndege?
Ntachukua private car!
nimemtuma driver alipeleke service so nadhani tutaondoka saa kumi na mbili jioni hii hadi saa tano usiku tutakuwa moshi then tulale hadi kesho tuelekee arusha kwenye ile harusi ya MJF mwenzetu.
 
Wilbad usimchekee Gaga mimi na Sweetie mambo SHWARIIIII...
Huyu Binti haoni ndani kwangu...
Usihofu ilaaa chakoo chake! na chakee..chake!

ASHADII; hivi hujui gaga ni wangu wa kushoto na mimi ni wake wakulia?
sintaweza kufanya kitu ka hicho Shem wangu.
 
Usihofu ilaaa chakoo chake! na chakee..chake!

ASHADII; hivi hujui gaga ni wangu wa kushoto na mimi ni wake wakulia?
sintaweza kufanya kitu ka hicho Shem wangu.


mmmmh!! nisipoangalia nitachakachuliwa... hio statement?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom