BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Sio wewe peke yakoJamani since nimeusikia huu wimbo humu i cant stop playing it, umeniingia kama nini sijui, nahitaji rehab
Sio wewe peke yakoJamani since nimeusikia huu wimbo humu i cant stop playing it, umeniingia kama nini sijui, nahitaji rehab
Madabwada loh haya ya zamani ipi sasa maana ziko za zamani mbili!! Ya uso na ya mgongo!!
Jana tu leo umeingia mitini? au id yako imefunguliwa?
Niliipenda ile ya uso ... ilishabihiana sana na busara zako (siku hz naona unazichakachua kidogo .... l.o.l)
lkn BB ameshauri uirudishe ya mgongo ... sasa sijui inakuwaje hapo!
madabwada jamani......uwii nadhani haya maisha mapya nlonayo yananichakachusha...........ndo shida ya kuwa matron wa boarding school.!!
ntaitafuta tena niiridishe mwe sas asijui BB atasemaje maana kwake yeye mgongo ulimmaliza!
MwanajamiiOne nilitaka kukuambia hili muda mrefu naona wadau nao wamenote. Ile avatar yako ya kwanza ndio ilikuwa safi. It really reflected your ID and your writing. Tutaandamana hapa.
EMT............aksante mkuu.........heri shari kamili kuliko shari nusu......ngoja niisake (Si ni ile ya Uso tu??) Lol pale ninapolazimika kuvaa kaniki mwaka mzima pasipo kubadili..............lol
mkuu naona umebaka hoja yangu, imebidi niwe mpole tu ... lol (just kidding)Much better now
thats why we like u!
thats why we like u!
...........................Hahahahahhhhh nyie watu vivuli haha bahati yenu 'mwenyewe' nae aipenda hii lol!!
ha ha ha... Gaga nishakujua saizi, na hii yoote ni morning glory umepata...
Thank you dear... At least anakumbuka the kiss ilivyo maana wengine
hawajui ku kiss (most wakaka wanafikiri ukiwa mtaalam kwenye 6 kwa 6 inatosha....lol)
Enways there a people wanajua kukiss bana!
na wewe bishosti?????ulitaka kumnyang'anya ashadii la aziz wake, upo??