Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Hommie, hebu soma hapa chini tafazali.
orait orait.....nimeona...
Hommie, hebu soma hapa chini tafazali.
hommie, mwambie pia kwamba mimi nilikuwa wa kwanza kumgongea senks pale...hebu kakague..
Ya kweli hayamswaki ni kizungumkuti.............................hauwezi kuukuna mdomo wote hata wale vijidudu wakakimbia..........siku hizi mambo yote ni Listerine..................kila kitu ni bomba na hakuna harufu hata chembe.........................................kazi iliyobakia ni kunyonyana ndimi tu........................kwa wapendanao lakini............................................
Na hiyo dawa huku kwetu hatupati labda nisugue na mkaa lolRuta ila mswaki ni muhimu kabla hujasukutua na hiyo dawa nahisi, maana kuna mavitu huwa yanaganda kwenye ulimi
Nakumbuka darasa la tatu, ukaguzi usafi wa kinywa, nilichukua zawadi na nikasimamishwa mbele ya parade. Dah!Pole anzia mwanzo upate uhondo, na tumeambiwa kwenye somo hili tupige mswaki vizuri kuepusha usumbufu
Umenikumbusha mbali sana mkuuNakumbuka darasa la tatu, ukaguzi usafi wa kinywa, nilichukua zawadi na nikasimamishwa mbele ya parade. Dah!
kuna mtu anaitwa Romance hapa, ngoja nikaangalie kama amebisha hodi.....
Si umezubaa kule kwenye quotes, shauri yako si umesoma ile thread ya jamaa katoa mahali akachukuliwa na rafiki wa yule mchumba?
Vipi mpenzi niko kona ya mwanzo hapa, jiandae basi tuishie zetu ARUSHA kwa akina lizzy tukapigwe baridi kidogo.we mtoto huogopi?
Usomtoe bwana mwache palepale nafasi yake, unajua kutamani huwa kupo tu hata asiyesema huwezi jua katamani wangapiNajuta!! Sina nguvu... kwanza nilitaka kupaisha quote yake peke yake nikaona
soo ndo maana hadi akina Gaga wakaingia...lol... alafu kachakaculiwa.. sijui nikaedit nimtoe...
Usomtoe bwana mwache palepale nafasi yake, unajua kutamani huwa kupo tu hata asiyesema huwezi jua katamani wangapi uzuri wake wanatamani na kwenda zao hawamaanishi toka rohoni
Rudisha moyo nyuma hawa wenzetu viumbe dhaifu