When You Kiss Me

When You Kiss Me

Ruta ila mswaki ni muhimu kabla hujasukutua na hiyo dawa nahisi, maana kuna mavitu huwa yanaganda kwenye ulimi

lakini gaga, mimi nashangaa hapa mnavyolalamika sijui,
mdomo/kinywa kiwe kisafi, je wale wanaokiss mpaka kwenye tundu za haja kubwa tusemeje..lol,
nao wasafishe kabla au?
 
wewe Romance,wewe ni good kisser?
she ought to be with that sexually arousing avatar.............what else do you expect from her...................hicho kitanda wafikiri ni cha kukalia tu..............
 
Listerine ni kiboko ya uchafu na inautoa kila mahali.......mswaki tunapiga kwa mazoea tu lakini hauna msaada sna na ndiyo maana hata usugue meno kila saa lakini kuoza meno kupo palepale.................kwa sababu dawa za meno hazina uwezo wa kuwaua bakteria..........................................
kweli hii ruta? nitajaribu wiki hii nione
 
njoo niku kiss kiss uoneee..... hutabanduka na ku kiss kiss sehemu zoooote husika!!!! teh teh teh
kiss me first.....................................ukiniridhisha basi nita-recommend kwa bacha................................uko wapi mbona sikuoni...................Am ready to go//...........are u???????????????????????
 
lakini gaga, mimi nashangaa hapa mnavyolalamika sijui,
mdomo/kinywa kiwe kisafi, je wale wanaokiss mpaka kwenye tundu za haja kubwa tusemeje..lol,
nao wasafishe kabla au?
Hiyo ni special case, maana kuna mtu pia huwa anamwambia gf wake akimaliza haja kubwa aache ili aende kuangalia then anamsikia anatoa miguno, niliisikia sijui humuhumu au blog gani sijui, kuna sehemu zina nature ya hizo harufu na watumiaji wanapenda wasikie, ila sijawahi sikia mtu anapenda harufu ya mdomo
 
kiss me first.....................................ukiniridhisha basi nita-recommend kwa bacha................................uko wapi mbona sikuoni...................Am ready to go//...........are u???????????????????????


aaaiiiiiiii!!!!!!
 
kuna mtu anaitwa Romance hapa, ngoja nikaangalie kama amebisha hodi.....


ni kweli mkuu,
usije kuta ni another son from the same mother...........
hizi ID hizi.....haya bana..........................
 
halafu wewe hii miguno yako hii,
hebu acha makusudi yako wewe mtoto!..............


mmmmmh!!! utoto umenisingiziaaaaaaaaaaa!!! teh teh teh tih tih tih tah tah tah teh teh teh
 
Hebu mwambie kabisa, nani alikuwa wa kwanza kukukaribisha?


aaaiiii babu nitakusahau je wa kwanza kunikarim katika safari yangu ya tatuu jf teh teh teh... chuchu wakagua lini babuu????
 
Hommie, hebu soma hapa chini tafazali.

Shhhhhhiiiii usiseme kwa sauti...ngoja watoto walale.


aaaiii watoto waharuhusiwa siku hizi??? haifaiii chapa kabisa hao babuu Khaaa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom