When You Kiss Me

When You Kiss Me

So what i wanted to hear... And sweetie.. being short of words is not a problem...
you know i like it more if you don't use them.. the alternative is better...
si tuliambiwa wanaume hawaongei sana, wao ni kifupi tu?
 
si tuliambiwa wanaume hawaongei sana, wao ni kifupi tu?


Huu uzi unaeleza kili kiitu, si lazima atumie kwa kuongea hata kwa majambozi
yatosha (kissing sehemu zoote of coz), na kama ulivyoona hua anaiangushi...lol..
hivyo sijali if he is short words.. ha ha ha
 
Huu uzi unaeleza kili kiitu, si lazima atumie kwa kuongea hata kwa majambozi
yatosha (kissing sehemu zoote of coz), na kama ulivyoona hua anaiangushi...lol..
hivyo sijali if he is short words.. ha ha ha
kWELI UKO IN LOVE
 
gaga kweli maana ya kiss kiasilia ni kuonyesha mapenzi ya kweli kwa umpendae lakini SASA kuna Kiss nyingine za kuingiliwa mifukonia au kutaka kitu kikishapatikana umeliwa busu huhama sasa kazi ni kutambua aina ya Kiss upewalo
 
Gaga na Ashadii naomba tuition ya kiss tafadhali


Wit nitakuandalia notes with the help of Gaga... (usiwe tu mvivu kusoma....lol...)
Practice baadaye - with your partner of coz, nasi tutaleta wetu uone kwa vitendo..
 
Wit nitakuandalia notes with the help of Gaga... (usiwe tu mvivu kusoma....lol...)Practice baadaye - with your partner of coz, nasi tutaleta wetu uone kwa vitendo..
on a serious note,am loughing to see it.Keep in mind that i mean it,thx in advance..xo xo
 
gaga kweli maana ya kiss kiasilia ni kuonyesha mapenzi ya kweli kwa umpendae lakini SASA kuna Kiss nyingine za kuingiliwa mifukonia au kutaka kitu kikishapatikana umeliwa busu huhama sasa kazi ni kutambua aina ya Kiss upewalo
Hao wanajulikana, kiss ya kweli utaijua tu ukimwangalia machoni mpenzi wako
 
Wit nitakuandalia notes with the help of Gaga... (usiwe tu mvivu kusoma....lol...)
Practice baadaye - with your partner of coz, nasi tutaleta wetu uone kwa vitendo..
Poa ashadii ilete hapa tuidadavue vizuri
 
Na tukakubaliana na EMT kabisaaaa kwamba wao wako na manen madogo sana

Shantel.......ukilia usija anza kuombe tukubembeleze tutakuwa tumelala...uchokozi mwingien huo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom