When You Kiss Me

When You Kiss Me

hahaha!hujachelewa..kwa maana hiyo wewe una full package siyo?na hivyo ur gud at????:biggrin:


aaaiiiiiiii, naona busara zamwgwaaaaaaaa... mmmmh... ndio mimi ni fulll nondoooo.... teh teh teh
 
And when you kiss me I know you miss me Oh, the world just goes away When you kiss me
.........................if it is true then I will kiss until the World stops going around.................
 
Pole anzia mwanzo upate uhondo, na tumeambiwa kwenye somo hili tupige mswaki vizuri kuepusha usumbufu


aiiiiiiiiiii... asante mwayaaaa... mmmmmmh, ndefu hio niko ukurasa wa nnee.... rahaaaa utamuuuuuuu!... mmmh!
 
Ina maana hujui rutash au unanisanif, mdomo usiposafishwa vizuri unalta usumbufu kwa kisser mwenzako, yaani domo ukiachama tu si harufu hiyo, kha
mswaki ni kizungumkuti.............................hauwezi kuukuna mdomo wote hata wale vijidudu wakakimbia..........siku hizi mambo yote ni Listerine..................kila kitu ni bomba na hakuna harufu hata chembe.........................................kazi iliyobakia ni kunyonyana ndimi tu........................kwa wapendanao lakini............................................
 
mswaki ni kizungumkuti.............................hauwezi kuukuna mdomo wote hata wale vijidudu wakakimbia..........siku hizi mambo yote ni Listerine..................kila kitu ni bomba na hakuna harufu hata chembe.........................................kazi iliyobakia ni kunyonyana ndimi tu........................kwa wapendanao lakini............................................
Ruta ila mswaki ni muhimu kabla hujasukutua na hiyo dawa nahisi, maana kuna mavitu huwa yanaganda kwenye ulimi
 
Ruta ila mswaki ni muhimu kabla hujasukutua na hiyo dawa nahisi, maana kuna mavitu huwa yanaganda kwenye ulimi
Listerine ni kiboko ya uchafu na inautoa kila mahali.......mswaki tunapiga kwa mazoea tu lakini hauna msaada sna na ndiyo maana hata usugue meno kila saa lakini kuoza meno kupo palepale.................kwa sababu dawa za meno hazina uwezo wa kuwaua bakteria..........................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom