Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Aksante Da mdogo ila naomba Mbu aipite hapa aisee.............. hahaha mtakoroga unga wa ngano aisee ninywe
mbu ni kipofu,hawezi kuona na akiona ataassume hajaona. Lol
Aksante Da mdogo ila naomba Mbu aipite hapa aisee.............. hahaha mtakoroga unga wa ngano aisee ninywe
MJ1 karibu kwenye ulimwengu maridhawa mpenzi.
Chauro hun hebu nisaidie....... plz
Jamani inachanganya............ Mfano kwangu its more than six months..bado tu akipiga ninapata butterflies, nimeshakaa nae kwa muda na kila ninapofikiria some butterflies aisee wanagombana .......ndo maana nauliza ni kwa muda gani? Ili ikipita hata nikiwasikia wakiniimbia verse nsishtukae nijue ni infatuation?
switii acha kupoteza ladha maridhawa kwa maswali magumu napopenda huwa najitoa mia kwa mia hayo mengine kutokea huwa matokeo hapa nakuona kama unatengeneza hofu au hofu imetawala usiipe nafsi historia ipe wakati kufurahia wakati bila kuidhulumu nafsi darling.
na hujawahi hisi ulikuwa blind kwake?
hapana, maana sikuruhusu mazingira ya kupewa upofu.
Love ni package (unapenda jambo zaidi ya moja kwa mtu...) ; Infatuation inaweza ikawa unamu-admire unapenda charisma yake au status yake, mavazi n.k. Hivyo the only difference ni kwamba kama ni admiration ya vitu vichache kuna uwezekano isidumu.., ingawa ki-ubinadamu nina uhakika kabla hio feeling haijaisha kutakuwa na feelings nyingine zita-kick in kitu ambacho kinaweza kupelekea deep love.., All in all whatever is it there is a bigger chance you might end up behind the altar.., kuliko yule ambae hauna emotions naeJamani inachanganya............ Mfano kwangu its more than six months..bado tu akipiga ninapata butterflies, nimeshakaa nae kwa muda na kila ninapofikiria some butterflies aisee wanagombana .......ndo maana nauliza ni kwa muda gani? Ili ikipita hata nikiwasikia wakiniimbia verse nsishtukae nijue ni infatuation?
Njia rahisi kugundua ni kuangalia wanaume wengine wanaojigonga kwako. . .kama sifa zote nzuri wanazo ila hawakushtui then your man is the real deal.
Jamani inachanganya............ Mfano kwangu its more than six months..bado tu akipiga ninapata butterflies, nimeshakaa nae kwa muda na kila ninapofikiria some butterflies aisee wanagombana .......ndo maana nauliza ni kwa muda gani? Ili ikipita hata nikiwasikia wakiniimbia verse nsishtukae nijue ni infatuation?
Hongera kwa hilo, kupenda kwa kichwa na si kwa moyo kuna umuhimu wake hasa kama unaweza.
we acha ushawahi kusikia kwa jiran anaitwa mtu mwingine sababu tu kuna kaherufi kanafanana na umpendaye unashtuka mapenzi ya kweli huwa hayafi jipe muda kama nafasi ipo ipe nafsi kitu inapenda
kwani wewe upofu wa mapenzi unauelewaje? Labda tunaelewa kwa namna tofauti? Ni lazima uwe kipofu ndio uonekane umependa kwa moyo?
kwani wewe upofu wa mapenzi unauelewaje? Labda tunaelewa kwa namna tofauti? Ni lazima uwe kipofu ndio uonekane umependa kwa moyo?
Khaaa...........Hussy......we mdogo ila mkubwa aisee..hiyo upofu aisee inahuu..............