Whatsapp Spying Method

sumu-ya-panya

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
632
572
habari wana jamii
Naitwa sumu ya panya haina haja unijue zaidi kazi yangu ni anti-privacy napenda kuleak taarifa,kupoteza ushaidi na taarifa za kimtandao,nafungua Locked Phones,Anti-thieft,Privacy brick etc.on mobile and pc.

Kwa wale wanaopenda kusoma message za wenzi wao bile wao kujua leo nimeleta kwenu method hii ya kusoma data zao.hasa kwa whatsapp ukiwa na uwezo wa kujibu akaonekana ni yeye au mkajibu wote akaonekana ni yeye.

Fata hatua hizi.

1.Hakikisha unasimu mbili zinazosupport whatsapp
2.sim card ya mlengwa iwe kwenye kisimu kisicho na whatsapp
3.network iwe 2G isiwe na kasi ikiwezekana kwenye proxy tumia iliyo slow.
4.Install whatsapp simu zote.
5.start Whatsapp accept zote.
6.Wakati inaitisha namba ya simu jaza namba ya mlengwa kwako na kwake.
7.hakikisha unagusa OK kwa wakati mmoja.
8.Itauliza kama namba ni yako, click ok.
9.itasema input code.
10. messej yenye code itatumwa kwenye lain ya mlengwa iliyokwen ye kisimu kisicho na whatsapp.
11. kua makini hapa uwe fasta.
12.ingiza taraki tano kwanza
13.Tarakimu ya sita weka kwa wakati mmoja.
14.ita accept
15. Wakati ina initializ zima data simu zote.
16.whasha simu ya mlengwa.
17 whasha simu yako itamalizia intializ
18.enjoy whatsapp spying.
19. tahadhari usije shtukiwa kwa kwa kujibu messeji wewe. kabla huja soma wewe ngoja yeye asome iwe na tik ya blue.kisha soma wewe. hata kama atafuta kwako itabaki.
ili kulinda ushaidi weka Gmail backup every second.
20. Ukishtukiwa pambana na kesi yako.....
 
Number mbili hapo ongeza ufafanuzi simu ya 2g ilio slow na pia line ya mlengwa iwe na simu isiyo na watsapp some how confuzed
nimesema sim card iwe katika sim siyosupport whatsapp coz whatsapp number verfication sms will detected before received or allerted. ndio maana unaweka iyo sim card katika simu ya kawaida ili msg ichelewe kureceived attacked phone itataka uingize code manual. hapo ndipo udhaifu wa security unachukuliwa kama mtaji. alafu unaingiza code both phone whatsapp server zitatambua ni namba moja pekee imeconnect. na hakuna security prevlgn itayo gundua spying.
 
Kwa hiyo simu zinazohitajika ni Tatu au mi ndiyo sijaelewa? Yaaani mbili za WhatsApp halafu moja ya kawaida.........
 
Kazi kubwa gapa ni kuipata line yake
lain yake haina umuhimu sana muhimu ni sms verification code itayoingia kwakwe.

hacker anaefanya hacking lazima akatege mtego kwa mlengwa. either kwa kutumia virus au mikono yake mwenyewe
 
habari wana jamii
Naitwa sumu ya panya haina haja unijue zaidi kazi yangu ni anti-privacy napenda kuleak taarifa,kupoteza ushaidi na taarifa za kimtandao,nafungua Locked Phones,Anti-thieft,Privacy brick etc.on mobile and pc.

Kwa wale wanaopenda kusoma message za wenzi wao bile wao kujua leo nimeleta kwenu method hii ya kusoma data zao.hasa kwa whatsapp ukiwa na uwezo wa kujibu akaonekana ni yeye au mkajibu wote akaonekana ni yeye.

Fata hatua hizi.

1.Hakikisha unasimu mbili zinazosupport whatsapp
2.sim card ya mlengwa iwe kwenye kisimu kisicho na whatsapp
3.network iwe 2G isiwe na kasi ikiwezekana kwenye proxy tumia iliyo slow.
4.Install whatsapp simu zote.
5.start Whatsapp accept zote.
6.Wakati inaitisha namba ya simu jaza namba ya mlengwa kwako na kwake.
7.hakikisha unagusa OK kwa wakati mmoja.
8.Itauliza kama namba ni yako, click ok.
9.itasema input code.
10. messej yenye code itatumwa kwenye lain ya mlengwa iliyokwen ye kisimu kisicho na whatsapp.
11. kua makini hapa uwe fasta.
12.ingiza taraki tano kwanza
13.Tarakimu ya sita weka kwa wakati mmoja.
14.ita accept
15. Wakati ina initializ zima data simu zote.
16.whasha simu ya mlengwa.
17 whasha simu yako itamalizia intializ
18.enjoy whatsapp spying.
19. tahadhari usije shtukiwa kwa kwa kujibu messeji wewe. kabla huja soma wewe ngoja yeye asome iwe na tik ya blue.kisha soma wewe. hata kama atafuta kwako itabaki.
ili kulinda ushaidi weka Gmail backup every second.
20. Ukishtukiwa pambana na kesi yako.....
Ungekuwa kweli mtaalamu kwel wa anti-privacy basi unge suggest njia za ku decrypt message.db.key za WhatsApp ambazo ndo backup za message kwenye simu.Hizi njia za kuchukua line ya mwenzi wako ni ishara tosha kuwa bado tz hatujawa sophisticated ku lunch attacks
 
Yanini kujitafutia magonjwa na stress zisizo za lazima hizi za maisha ni hatari ukiongeza na hizo ni kifo tu hakuna namna
 
lain yake haina umuhimu sana muhimu ni sms verification code itayoingia kwakwe.

hacker anaefanya hacking lazima akatege mtego kwa mlengwa. either kwa kutumia virus au mikono yake mwenyewe
Anhaaa sawa miuy ngoja njaribu kujihack mm kwanza
 
Ungekuwa kweli mtaalamu kwel wa anti-privacy basi unge suggest njia za ku decrypt message.db.key za WhatsApp ambazo ndo backup za message kwenye simu.Hizi njia za kuchukua line ya mwenzi wako ni ishara tosha kuwa bado tz hatujawa sophisticated ku lunch attacks
backup hatudeal nayo. tunacho taka ni live detection we dont need history. kumpa mbongo method za crypt2, crypt5, crypt7, crypt8 form inahitaji umpeleke shule upya.
 
Back
Top Bottom