Whatsapp na Mgogoro wa Familia

Whatsapp na Mgogoro wa Familia

Najua inaumaa, lakini maisha yaendelee. Usipoteze muda wako kufuatilia wala kufikiria upuuzi wao. Mungu akutie nguvu na Busara katika hili
 
Watu wengine akili zao zipo makalioni, huyo mwanaume kashikiwa akili hata hajielewi...!!!!
i wish nijue hiyo huwa inamaanisha nini, best yangu flan ye ananambia kila ndugu wa mme(dadaz) wanapokuja kuwatembelea lazma mme awe upande wa dada zake, wakienda church dada anabebewa mkoba wife anabeba mkoba wake na mtoto mgongoni, mme anamuagiza wife mletee chakula wifi ako ye kanyoosha miguu kama toothpick kwenye kochi, shortly zile care za mke zinahamia kwa dada ndo kusema!!!???dada anamreplace mke au....ha ha ha nicheke kama mazuri!!!!
bidada pole mwaya jitoe tena kwenye group na umwambie asikuweke

wife ni mke wa ndoa tu na dada ni mke wa maisha! tehe tehe tehe!
 
WhatsApp ukiikosa kuna hasara gani. Jitoe kwenye whatsapp (siyo kwenye group tu) kwa muda ili kupunguza stress zisizo za lazima.
 
Silence is the best answer always!! Sijawah kuskia mtu anapungukiwa kitu kwa kunyamaza. By allowing this to get to you ndo unajipa stress fanya kama vile huoni wala husikii. Wakiona you are not reacting to their childishness watachokA

It doesnt matter who is wrong here wat matters is your reaction to their actions.
 
Sasa fanya hivi, jitoe kwenye group halafu akikurudisha tena,
Jitoe mazima halafu um block uone atafanya nini, ujanja utamuisha.
.
 
Kumbe dada nae ni mke????!!!!! ndo maana kumbe mke na wifi ndo vile haya...

yeah, mwanamke uanamuoa, unamgharimikia lakini siku akiamua kukukimbia anasahau yote! tuna mfano hai kwenye famila yetu! marehemu kaka yetu ali-base sana kwa mke wake sana kiasi ambacho aliwasahau ndugu zake(kaka) lakini alipougua sana ugonjwa wa kisukari na mkewe akaona mmewe hatapona hakumjali tena! dada yetu ndiye aliyehangaika naye mpaka mauti yalipomkuta!!
 
yeah, mwanamke uanamuoa, unamgharimikia lakini siku akiamua kukukimbia anasahau yote! tuna mfano hai kwenye famila yetu! marehemu kaka yetu ali-base sana kwa mke wake sana kiasi ambacho aliwasahau ndugu zake(kaka) lakini alipougua sana ugonjwa wa kisukari na mkewe akaona mmewe hatapona hakumjali tena! dada yetu ndiye aliyehangaika naye mpaka mauti yalipomkuta!!
Sasa kuna haja gani ya kuoa si muishi na dada zenu tu if that the case?
 
Back
Top Bottom