Whatsapp na Mgogoro wa Familia

Whatsapp na Mgogoro wa Familia

Hiiii.. mume mswahili,mshakunaku kweli..mbona dada anauwezo was kujitoa whatssap vizuri amwache akipiga. Umbea ..jianaume la kujishushia stamina la nini kuliendekeza

mimi sielewi huyu dada nae anashida yani ningejitoa kwa tangazo la herufi kubwa kuwa nitolewe ... mwanaume kukaa umbea umbea kwa kwel mimi siwezi muheshimu....... utakuta yanalilia heshama kama uji huku hawajui heshima inatafutwa.. aiii...
 
mimi sielewi huyu dada nae anashida yani ningejitoa kwa tangazo la herufi kubwa kuwa nitolewe ... mwanaume kukaa umbea umbea kwa kwel mimi siwezi muheshimu....... utakuta yanalilia heshama kama uji huku hawajui heshima inatafutwa.. aiii...

Miss Chagga nimeshajitoa huko lakini najua atanirudisha tena, ila hii hali tu inanikwaza sana, yaani sijui niseme nini nieleweke lakini maisha ya ndoa yamekuwa magumu
 
Ha ha ha...jamani tumieni technolojia kwa kiasi...

Mimi haya ma Whatsap sijui Insta...nilisema sitaki kuyasikia...

Ukiendekeza technolojia utapoteza umaana wa kuwa familia...zamani familia zilikuwa zinakutana kwenye vikao...sasa hivi mtaanza kukutana whatsap...

Jana nimesoma link kanitumia rafiki yangu...familia ya Steve Jobs, founder wa apple ambavyo imekataa kata kata watoto wao kutumia Ipads na Ipods...go figure...hawataki kuwa na watoto mazezeta..kwa sababu hata wao hawakukulia mzingira ya technology na bado wana complain wanavyokuwa watumwa wa technology; hivyo wame decide kuwa watoto wao hawatakaa wawe na ipads. Watoto wame complain maana wenzao shuleni wanazao...lakini mwisho wameelewa....

Lakini hapa bongo mtu akiwa na vijisenti kidogo anamnunulia mtoto smart phone...ha ha ha

Haya mwenzenu mwenye technology yake kesha waonyesha huo si ujanja....

Here’s Why Steve Jobs Didn’t Let His Kids Use iPads and Why You Shouldn’t Either | The Unbounded Spirit
 
Miss Chagga nimeshajitoa huko lakini najua atanirudisha tena, ila hii hali tu inanikwaza sana, yaani sijui niseme nini nieleweke lakini maisha ya ndoa yamekuwa magumu

Yesu na maria yani wewe unakosea sema naomba kutolewa kwenye hilo group hakuna kujitoa kimya kimya udaku na umbea ..... mimi nitachangia kwenye magroup ya mitaani hata yale ya kutumiana mapicha ya uchi la familia kamwe never ever nitakuwepo lakini si kuchangia nii umbea na ufyuuu tu....kama kuna msiba shida michango na namba ya huyo mtu nitamtafuta mwenyewe na si kwamba group ndiyo ina help upuuzi tu... mwambie mumeo asikurudishe hata kidogo na akome kabisa ... hivi unaishije ni jiaanaume mbeya mbeya jinga halina akili ... hayanihusu lakini pole
 
unadhani talaka inatolewa tu

najua inaandikwa pia....hahahahah, sasa unafikir hapo kuna furaha gan ya ndoa, mana ukienda kwa wakwe kero, wake wenzio ndo yarabi toba! mumeo nae ndo akili kashikiliwa mkononi.... alaf kama masikin ya mungu hana wazazi ndo utaomba mwisho wa dunia uwe kesho! tabu nyingine hizi! sasa angekua peke yake yangekuepo yote haya....?? mi bora niwe single tu kwakweli, mambo ya kuolewa wake wengi hapana
 
Ngoja nikatapike kwanza nipunguze hasira nikipata nafuu ntaludi
 
attachment.php
dada unauvumilivu mimi sijui
 
najua inaandikwa pia....hahahahah, sasa unafikir hapo kuna furaha gan ya ndoa, mana ukienda kwa wakwe kero, wake wenzio ndo yarabi toba! mumeo nae ndo akili kashikiliwa mkononi.... alaf kama masikin ya mungu hana wazazi ndo utaomba mwisho wa dunia uwe kesho! tabu nyingine hizi! sasa angekua peke yake yangekuepo yote haya....?? mi bora niwe single tu kwakweli, mambo ya kuolewa wake wengi hapana

i can bet wewe s muislamu na kama n muislamu dini bado hujaijua mwanamke akiolewa akaomba talaka kwanza dhambi pili awe tayar kurudsha mahar aliyotolewa na allah huchukia mno talaka so inaandikwa ila sio kiholela tu ile kusema tu nimekuacha haijalish ulimaanisha au la hiyo n.talaka tayar
 
najua inaandikwa pia....hahahahah, sasa unafikir hapo kuna furaha gan ya ndoa, mana ukienda kwa wakwe kero, wake wenzio ndo yarabi toba! mumeo nae ndo akili kashikiliwa mkononi.... alaf kama masikin ya mungu hana wazazi ndo utaomba mwisho wa dunia uwe kesho! tabu nyingine hizi! sasa angekua peke yake yangekuepo yote haya....?? mi bora niwe single tu kwakweli, mambo ya kuolewa wake wengi hapana
ki ukweli NDOA ZIKU HIZI NI KUJITOA AKILI ILI UISHI LA SIVYO UTALIA KILA SIKU
 
Niulize enyi walimwengu huyu bwana anavyonitesa
kanitoa kwetu kwa baba na mama
kwa vigeregere na heshima nyingi
mtizameni sasa anavyonigeuka
mtizameni sasa anavyonigeuka


Mambo anayoyafanya ni Aibu kusema kwa kuwa leo nina uchungu nitakueleza

old is gold
Ndoa ya mateso
Marijani Rajabu
digital hamzijui hizi

Ngoja tumpatie mhanga hiki kiburudisho.
Pole mdada.
 

Attachments

Back
Top Bottom