najua inaandikwa pia....hahahahah, sasa unafikir hapo kuna furaha gan ya ndoa, mana ukienda kwa wakwe kero, wake wenzio ndo yarabi toba! mumeo nae ndo akili kashikiliwa mkononi.... alaf kama masikin ya mungu hana wazazi ndo utaomba mwisho wa dunia uwe kesho! tabu nyingine hizi! sasa angekua peke yake yangekuepo yote haya....?? mi bora niwe single tu kwakweli, mambo ya kuolewa wake wengi hapana
Huyo mumeo ana umri gani?maana kuoa cku hzi imekua fashion,hata vitoto vya under 18 vinaoa.
pata kitu roho inapenda. Kim nana sijamuona kwenye huu uzi.
Miss Chagga nimeshajitoa huko lakini najua atanirudisha tena, ila hii hali tu inanikwaza sana, yaani sijui niseme nini nieleweke lakini maisha ya ndoa yamekuwa magumu
Kwakweli muda ukifika inabidi tu kussurender
Za siku wana MMU?
Ni hivi; kwa kifupi mimi na familia ya mume wangu hatuko vizuri sana
kama mwanzoni, na hii yote imesababishwa na fitina ya mmoja wa mke wa
mdogo wa mume wangu kuwa na mambo ya umbea, urongo na unafiki na
anapenda kutupaka matope wake wenzake siku zote.
Kwa vile ni familia ya kusikiliza maneno, huwa wanampokea vizuri na
wanamfurahia, sasa mimi sikulelewa katika maisha hayo nilichoamua kuwa
mbali kidogo na maneno yao yaani ni pamoja na kupunguza sana visiting ya
ukweni maana wenzangu wengine watatu wote wanakaa pamoja na mama mkwe
yaani bado hawajaamua kutoka nyumbani.
Sasa nyumba imekuwa na matatizo, yaani wengine hapo hatufai kabisa na
anaefaa ni huyo mwenye hulka ya maneno, hii imeweza kutujengea ukorofi
kwa kila tunalolifanya liwe zuri liwe baya utaonekana mbaya tu mzuri ni
huyo mmoja.
Tukija katika point ni hivi, mume wangu ame-create family group
whatsapp. Hiyo group ni mipasho, manyanyaso na masimango tu, sio group
ya kupeana taarifa muhimu. Kukiwa na shida ndani basi sehemu ya
kukusemea ni katika group. Sasa jana ka-share hiyo picha hapo na ndugu
zake wote wakawa wanaisupport na kuifurahia, na hiyo yote kwasababu pia
hawanipendi na wananisemea vibaya kila siku japo nasikia ila nanyamaza
kwa vile sitaki shari.
Mume wangu anafahamu hayo yote, mimi binafsi nimeona hii ni kejeli kubwa
kwa sababu waliomo kwenye group ni watu ambao wanatamani nipate shida,
watafurahia wakisikia nanyanyasika, watafurahia wakisikia nimeyumba.
Sasa kwa mfano ningeweka mimi picha labda inasema husbands are always
selfish and cheaters, vipi yeye asingeona namdhalilisha? Na je, hii ndio
kazi ya group ya familia? Nilishatoka katika hii group kwa vile yeye ni
creator akanirudisha tena, sasa nashindwa kumuelewa ananilazimisha
kukaa kwenye hii group ili kunipa stress?
Hivi wenzangu mnamtafsiri vipi mwanaume mwenye tabia hizi? Naona yuko
tayari niwe stressed na yeye kwake ikawa burudani.
Naombeni mtazamo wenu, lakini nahisi maisha ya ndoa yananishinda maana
hayana starehe zaidi yana stress.
======================
Hii ndio picha iliyotumwa kwenye hilo Group la Whatsapp:
View attachment 204120![]()
Wewe unapenda shari, na from maelezo yako uko arrogant sana!Unataka usikilizwe wewe tu, na umejaa ubinafsi uliopitiliza!Bila shaka mumeo ni mtu wa watu na hilo linakukera sana, it is obvious usipobadilika utaishi kwa shida sana!Vinginevyo u better quit the marriage!Nimeshajaribu hivo my ila inakuwa ngumu kidogo wakati mwingine unajikuta umesoma japo si yote
pole ila mimi najuavyo hakuna raha ya kumpuuza mtu au watu, yaani hata kama moyo wako unavuja dam, ila ukatabasam watajiona wajinga.Nimeshajaribu hivo my ila inakuwa ngumu kidogo wakati mwingine unajikuta umesoma japo si yote
Kuishi na Mwanaume anaye entertain whatssap , sijui anarusharusha picha FB na vistatus vya kitotototo , sijui Instagram yataka moyo maana wengi wanakuwa kama Ma SHE tu .:sorry:....pole mwanamke mwenzangu ....
Kwa tabia hizi za kike mumeo atakuwa mtu wa Pwani ama Zenji.