Whatsapp na Mgogoro wa Familia

Whatsapp na Mgogoro wa Familia

ki ukweli NDOA ZIKU HIZI NI KUJITOA AKILI ILI UISHI LA SIVYO UTALIA KILA SIKU
yani kila siku kwako utaona msiba tu! mweeh! kama ni sharia acha ivunjwe tu, lakin kama ni amri ya mungu basi ntaolewa.... ila si kwa mateso hayo
 
Mpendwa Naima, Mie ushauri wangu ni Muhimu, Kwani huwezi surrenda Unyumba na Ndoa kwa sbb ndogo tu ya techno (whatsApp) !! utakuwa brainLess na mbeleni utajuta !! Kwanza ni shame kuanika aibu za Husband (baba watoto wako) humu, Pia kuwa kafshifu wana familiya japo hatuwajui. Lakini hayo ni very minor things !!

Sasa nikushauri kama Kakako... Usijaribu kumpoteza Bwana wako huyo...ila jaribu kumbadilisha au ku reform upya (kumrekebisha kinamna) Na njia wewe waijua "as a Wife, as a gal, as Lady, as woman" hiyo ni jukumu la na ukweli kuna njia nyingi sana Nyie w'wake mnazo za kutuweka to be GENTLEMAN !!
Sista humu JF baadhi yetu ni Full waharibifu ktk masilahi ya wenzetu (nasema baadhi tena) kwani hakuna tunacho poteza Losing nothing isipokuwa kuchochea !!
Tafadhali Panua busara zako na kwa hekima mtafutitie time Bwana muwe wa2 tu na muongee kiutu uzima.!!

Hongera in Advance uweke imani ya juu juu zaidi utaishi sweet life. Amina
Ubarikiwe sana.
 
Asante Miss Chagga umenisaidia maana nilikua natoka povu. uyo mume sijui "mchele" ?
Yesu na maria yani wewe unakosea sema naomba kutolewa kwenye hilo group hakuna kujitoa kimya kimya udaku na umbea ..... mimi nitachangia kwenye magroup ya mitaani hata yale ya kutumiana mapicha ya uchi la familia kamwe never ever nitakuwepo lakini si kuchangia nii umbea na ufyuuu tu....kama kuna msiba shida michango na namba ya huyo mtu nitamtafuta mwenyewe na si kwamba group ndiyo ina help upuuzi tu... mwambie mumeo asikurudishe hata kidogo na akome kabisa ... hivi unaishije ni jiaanaume mbeya mbeya jinga halina akili ... hayanihusu lakini pole
 
i can bet wewe s muislamu na kama n muislamu dini bado hujaijua mwanamke akiolewa akaomba talaka kwanza dhambi pili awe tayar kurudsha mahar aliyotolewa na allah huchukia mno talaka so inaandikwa ila sio kiholela tu ile kusema tu nimekuacha haijalish ulimaanisha au la hiyo n.talaka tayar
kwahyo hata kama kanivunja mguu nikae kimya? kah! acha tu nipate dhambi kwakweli, dhambi tunazifanya nyingi sana, m sio muislam ila nmezungukwa na waislam na nayajua yote hayo ila kiukweli vitu vingine tuangalie na utu! amani ya moyo ni bora zaidi.
 
Mpendwa Naima, Mie ushauri wangu ni Muhimu, Kwani huwezi surrenda Unyumba na Ndoa kwa sbb ndogo tu ya techno (whatsApp) !! utakuwa brainLess na mbeleni utajuta !! Kwanza ni shame kuanika aibu za Husband (baba watoto wako) humu, Pia kuwa kafshifu wana familiya japo hatuwajui. Lakini hayo ni very minor things !!

Sasa nikushauri kama Kakako... Usijaribu kumpoteza Bwana wako huyo...ila jaribu kumbadilisha au ku reform upya (kumrekebisha kinamna) Na njia wewe waijua "as a Wife, as a gal, as Lady, as woman" hiyo ni jukumu la na ukweli kuna njia nyingi sana Nyie w'wake mnazo za kutuweka to be GENTLEMAN !!
Sista humu JF baadhi yetu ni Full waharibifu ktk masilahi ya wenzetu (nasema baadhi tena) kwani hakuna tunacho poteza Losing nothing isipokuwa kuchochea !!
Tafadhali Panua busara zako na kwa hekima mtafutitie time Bwana muwe wa2 tu na muongee kiutu uzima.!!

Hongera in Advance uweke imani ya juu juu zaidi utaishi sweet life. Amina
Ubarikiwe sana.

selfish by nature mfyuu...
 
kwahyo hata kama kanivunja mguu nikae kimya? kah! acha tu nipate dhambi kwakweli, dhambi tunazifanya nyingi sana, m sio muislam ila nmezungukwa na waislam na nayajua yote hayo ila kiukweli vitu vingine tuangalie na utu! amani ya moyo ni bora zaidi.

kuzungukwa na waislam sio tija ya kujuua kila kitu upo??? zipo sehem stahik za yy kushtaki je aliwah kwenda kushtak mbali n kudai talaka???
 
Hii teknolojia ni majanga, haya magroup hayaaa, Mimi siyapendi kweli
 
Mpendwa Naima, Mie ushauri wangu ni Muhimu, Kwani huwezi surrenda Unyumba na Ndoa kwa sbb ndogo tu ya techno (whatsApp) !! utakuwa brainLess na mbeleni utajuta !! Kwanza ni shame kuanika aibu za Husband (baba watoto wako) humu, Pia kuwa kafshifu wana familiya japo hatuwajui. Lakini hayo ni very minor things !!

Sasa nikushauri kama Kakako... Usijaribu kumpoteza Bwana wako huyo...ila jaribu kumbadilisha au ku reform upya (kumrekebisha kinamna) Na njia wewe waijua "as a Wife, as a gal, as Lady, as woman" hiyo ni jukumu la na ukweli kuna njia nyingi sana Nyie w'wake mnazo za kutuweka to be GENTLEMAN !!
Sista humu JF baadhi yetu ni Full waharibifu ktk masilahi ya wenzetu (nasema baadhi tena) kwani hakuna tunacho poteza Losing nothing isipokuwa kuchochea !!
Tafadhali Panua busara zako na kwa hekima mtafutitie time Bwana muwe wa2 tu na muongee kiutu uzima.!!

Hongera in Advance uweke imani ya juu juu zaidi utaishi sweet life. Amina
Ubarikiwe sana.

Asante sana kwa ushauri wako, lakini wakati mwingine kinachotuleta huku ni kupata relief maana unakaa na jambo mpaka unahisi kupata depression
 
Asante sana kwa ushauri wako, lakini wakati mwingine kinachotuleta huku ni kupata relief maana unakaa na jambo mpaka unahisi kupata depression

NEVER TAKE RISK...kumbut MUME... wapo maPAPA (sharks) watampokea with 4 hands na kukupitia mbele yako with NEW LOOK !!
Uliza kama hujasikia.......!!
 
wanawake baadhi wanauvumilivu utasikia ndiyo wife material mfyuuu.... bora nisiwe wife material kuliko kuishi na mwanaume tahira

sa utaolewa mara ngapi kila unakoenda unakutana na taahira?uvumilivu unahitajika ila oooh uwe na kikomo kuna yasiovumilika
 
Kwenye settings za WhatsApp kuna kitufe kimeandikwa "Mute".

Wewe bonyeza kitufe hicho kisha waache waendelee na maneno yao, wapoteze muda wao. Kwani wahenga walisema "Maneno matupu hayavunji mfupa!"

Mungu atakusimamia na mwisho huyo mume wako atajirudi mwenyewe.

Daima usibishane na mjinga!
 
Back
Top Bottom