Hahahahaaa, so much curious
brenda18?! Unajua muda mwingi katika mitandao hii watumiaji tulio wengi tupo pale kwa ajili ya kuchati tu na kutengeza marafiki wapya and nothing more while few people are there to make money, I mean to make money really by using their networks! Sasa katika kundi la kwanza la ambalo ndilo la wengi huwa linajikuta kwenye kuchati tuuuuuuuuu ambako kunapelekea watu wanaongea mambo mpaka ya faragha utadhani wanajuana physically! Sasa hii inaweza kuchochea mpaka watu wakatafutana na kumalizana kabisa! This is not of good health kwa wanandoa na watu wasio kwenye ndoa! ndiyo maana kuna vijana humu huwa wanakuja na thread za kutafuna sana wadada wa FB, kutokana na mazingira yaliyoko huko huo ni ukweli mtupu! Na hasa wale walafi wa 'dead balls' (wadada walioumizwa mioyo yao na wanaume). Ndiyo maana nikasema mitandao hii inahitaji kujiunga once mtu unapokuwa na malengo dada yangu
brenda18 kwani ni mizuri mno kwa networking, lakini kizazi cha sasa kinamisiuse sana mitandao hii!