Whatsapp calling activation

Whatsapp calling activation

Nashindwaaaa

Hili tatizo hata mimi lilinikuta, but nilihangaika mpaka nikafanikiwa, Fanya hivi shuka chini ya hizo details za file, utakuta kuna sehemu ya kudownload kwa kutumia play store na pembeni yake kwa kutumia njia ya kawaida bonyeza hapo kwa kawaida
 
Mkuu asante sanaa..its work asee...but naomba afafanuzi wa vitu hivi
1. Hii ipo official?? Yasije tukuta ya watsap plus
2. Privacy ipo palepale? Kwa maana ya kwamba, picha na conversations zipo secured as normal ??

1.whatsapp version 2.11.561 ni official kabsa,,tena kwa baadh ya nchi mfn holland ilishakua published playstore tangu jana,.
Chck picha,,a frnd from holland alintumia last night,.
Ila leo asubui nmechck playstore naona tayr wameshaiwek v 2.11.561.
 

Attachments

  • 1426239486868.jpg
    1426239486868.jpg
    63.5 KB · Views: 107
  • 1426239705299.jpg
    1426239705299.jpg
    52 KB · Views: 101
farijiel vipi kuhusu kwenye Bluestacks
inapiga mzigo au... lazima ktk simu?
 
Last edited by a moderator:
1.whatsapp version 2.11.561 ni official kabsa,,tena kwa baadh ya nchi mfn holland ilishakua published playstore tangu jana,.
Chck picha,,a frnd from holland alintumia last night,.
Ila leo asubui nmechck playstore naona tayr wameshaiwek v 2.11.561.

Asante mkuu..sooo detailed....thanks
 
1.whatsapp version 2.11.561 ni official kabsa,,tena kwa baadh ya nchi mfn holland ilishakua published playstore tangu jana,.
Chck picha,,a frnd from holland alintumia last night,.
Ila leo asubui nmechck playstore naona tayr wameshaiwek v 2.11.561.
Si kweli mkuu hiyo version 2.11.561 bado haijawekwa kwenye play store hapa holland na ndio maana nilikutumia no yangu ili ujaribu kuiactivate maana nimejaribu kuidownload na kuinstall lkn sion changea
 
Si kweli mkuu hiyo version 2.11.561 bado haijawekwa kwenye play store hapa holland na ndio maana nilikutumia no yangu ili ujaribu kuiactivate maana nimejaribu kuidownload na kuinstall lkn sion changea

Mkuu mi npo DSM,,ila a guy from holland ndo alisem wao walishapat update,,,na akatuma screenshot kuprove hilo.,
Chck conv.. Kweny ile picha,,,ilkua jana night,.
Ila leo axubui nmechck playstore,,nkakuta hata sisi Tz tumepat update ya 561.
 
Mkuu mi npo DSM,,ila a guy from holland ndo alisem wao walishapat update,,,na akatuma screenshot kuprove hilo.,
Chck conv.. Kweny ile picha,,,ilkua jana night,.
Ila leo axubui nmechck playstore,,nkakuta hata sisi Tz tumepat update ya 561.
Mkuu hapa nilipo sasa ni Netherland wala sijaiona hiyo version kwenye playstore. Anyway labda simu yangu ya LG ndo ina matatizo mana nimeinstall hiyo yako but still doesnt work.
 
Mkuu hapa nilipo sasa ni Netherland wala sijaiona hiyo version kwenye playstore. Anyway labda simu yangu ya LG ndo ina matatizo mana nimeinstall hiyo yako but still doesnt work.

Hata mimi nina LG napata tatizo kama lako . . . Suluhisho ni nn?
 
Mkuu nimeshainstall naomba unipigie kwa no hii +31626427992




Mkuu hapa nilipo sasa ni Netherland wala sijaiona hiyo version kwenye playstore. Anyway labda simu yangu ya LG ndo ina matatizo mana nimeinstall hiyo yako but still doesnt work.

Ku-install haitosh mkuu,,u hav to receive a call frm activated number,.
Plz ntxt kweny whatsapp,,nijarib kukxaidia,
 
Ku-install haitosh mkuu,,u hav to receive a call frm activated number,.
Plz ntxt kweny whatsapp,,nijarib kukxaidia,

Mtext kwenye namba yake,mm ndie alieniactivatia na mm nikawaactivate jamaa zangu.
 
Back
Top Bottom