Whatsapp calling activation

Whatsapp calling activation

Kama unahitaji whatsapp calling kweny cm yako ya android fanya yafuatayo

Update whatsapp yako to latest version

Link- download hapa make sure una-download version 2.11.561,,,ukiwa na version tofauti na hii cm yako itagoma kupokea activation.,

Pili nitext kwenye whatsapp kwa kuandika JAMIIFORUMS kweny namba 0713190269

then ntakupgia cm kwa whatsapp unachotakiwa kufanya ni kupokea simu..,


KWA WATUMIAJI WA Whatsapp plus((now known as reborn))

Kwanz backup msg zako,..then unstall Whatsapp+ uliyonayo kweny cm yako,.kisha install official whatsapp v 2.11.561
Fanya activation,..(make sure umekua activated)
Baad ya hapo unstall official whatsapp afu weka tena whatsapp plus,,
Download whatsapp reborn v 1.70 HAPA
Then restore msg zako,,.
Enjoy,...

,.........UPDATES......,.

FAQ,,
1. je ni kwann cjawa activated baada ya kupokea cm.??
Ans,;ni kwasababu hujainstall version 2.11.561 ya whatsapp kweny simu yako,

2. ntajuaje kama tayr nashakua activated kutumia whatsapp voice call.??
Ans,:ni baad ya kuona call icon kweny whatsapp yako na kujarbu kumpgia mtu.

3. kwann siwez kuwapigia baadh ya watu walioko kweny contact list yangu,
Ans,:ni kwasabab wanatumia old version za whatsapp,,waambie wa-update version zao za whatsapp.

4.Hii whatsapp call ntaitumia kwa mda gan,??
Ans,: whatsapp call ni ya kudumu,

5. Nawez wapgia simu wat wangp kwa siku na je inafanya kaz had nje ya nchi na kuna ghram zzte za ziada,??
Ans,:YES,,inafany kaz had nje ya nchi bila gharam zzte za ziada na pia hakuna limit uwapgie watu wangp kwa cku,,,ni MB zako 2.

6.Je,naweza kuwa-activate wengine baada ya kua-activated.??
Ans,:YES,,baad ya kua activated unaweza kuwa-activate wengine ila lazma awe na version 2.11.561 ya whatsapp kweny cm yake.

Asante kiongozi, inapiga mzigo fresh
 
Thanx. Ime unganishwa vizuri. Na inafanya kazi. God bless u usiye mchoyo wa mambo mazuri
 
Kama unahitaji whatsapp calling kweny cm yako ya android fanya yafuatayo

Update whatsapp yako to latest version

Link- download hapa make sure una-download version 2.11.561,,,ukiwa na version tofauti na hii cm yako itagoma kupokea activation.,

Ukimalza post namba yako na kuomba activation kwa mtu yyte ambae tayr yuko activated,,,
<((kwa wasiopenda kupost namba zao hadharan,,,tuma msg kweny whatsapp kwa kuandika JAMIIFORUMS kwenda namba 0713190269.))>

then utapgiwa cm kwa whatsapp unachotakiwa kufanya ni kupokea simu..,


KWA WATUMIAJI WA Whatsapp plus((now known as reborn))

Kwanz backup msg zako,..then unstall Whatsapp+ uliyonayo kweny cm yako,.kisha install official whatsapp v 2.11.561
Fanya activation,..(make sure umekua activated)
Baad ya hapo unstall official whatsapp afu weka tena whatsapp plus,,
Download whatsapp reborn v 1.70 HAPA
Then restore msg zako,,.
Enjoy,...

Kama hii post imekusaidia plz LIKE na utoe feedback,.

,.........UPDATES......,.

FAQ,,
1. je ni kwann cjawa activated baada ya kupokea cm.??
Ans,;ni kwasababu hujainstall version 2.11.561 ya whatsapp kweny simu yako,

2. ntajuaje kama tayr nashakua activated kutumia whatsapp voice call.??
Ans,:ni baad ya kuona call icon kweny whatsapp yako na kujarbu kumpgia mtu.

3. kwann siwez kuwapigia baadh ya watu walioko kweny contact list yangu,
Ans,:ni kwasabab wanatumia old version za whatsapp,,waambie wa-update version zao za whatsapp.

4.Hii whatsapp call ntaitumia kwa mda gan,??
Ans,: whatsapp call ni ya kudumu,

5. Nawez wapgia simu wat wangp kwa siku na je inafanya kaz had nje ya nchi na kuna ghram zzte za ziada,??
Ans,:YES,,inafany kaz had nje ya nchi bila gharam zzte za ziada na pia hakuna limit uwapgie watu wangp kwa cku,,,ni MB zako 2.

6.Je,naweza kuwa-activate wengine baada ya kua-activated.??
Ans,:YES,,baad ya kua activated unaweza kuwa-activate wengine ila lazma awe na version 2.11.561 ya whatsapp kweny cm yake.

Mkuu asante sanaa..its work asee...but naomba afafanuzi wa vitu hivi
1. Hii ipo official?? Yasije tukuta ya watsap plus
2. Privacy ipo palepale? Kwa maana ya kwamba, picha na conversations zipo secured as normal ??
 
Kama unahitaji whatsapp calling kweny cm yako ya android fanya yafuatayo

Update whatsapp yako to latest version

Link- download hapa make sure una-download version 2.11.561,,,ukiwa na version tofauti na hii cm yako itagoma kupokea activation.,

Ukimalza post namba yako na kuomba activation kwa mtu yyte ambae tayr yuko activated,,,
<((kwa wasiopenda kupost namba zao hadharan,,,tuma msg kweny whatsapp kwa kuandika JAMIIFORUMS kwenda namba 0713190269.))>

then utapgiwa cm kwa whatsapp unachotakiwa kufanya ni kupokea simu..,


KWA WATUMIAJI WA Whatsapp plus((now known as reborn))

Kwanz backup msg zako,..then unstall Whatsapp+ uliyonayo kweny cm yako,.kisha install official whatsapp v 2.11.561
Fanya activation,..(make sure umekua activated)
Baad ya hapo unstall official whatsapp afu weka tena whatsapp plus,,
Download whatsapp reborn v 1.70 HAPA
Then restore msg zako,,.
Enjoy,...

Kama hii post imekusaidia plz LIKE na utoe feedback,.

,.........UPDATES......,.

FAQ,,
1. je ni kwann cjawa activated baada ya kupokea cm.??
Ans,;ni kwasababu hujainstall version 2.11.561 ya whatsapp kweny simu yako,

2. ntajuaje kama tayr nashakua activated kutumia whatsapp voice call.??
Ans,:ni baad ya kuona call icon kweny whatsapp yako na kujarbu kumpgia mtu.

3. kwann siwez kuwapigia baadh ya watu walioko kweny contact list yangu,
Ans,:ni kwasabab wanatumia old version za whatsapp,,waambie wa-update version zao za whatsapp.

4.Hii whatsapp call ntaitumia kwa mda gan,??
Ans,: whatsapp call ni ya kudumu,

5. Nawez wapgia simu wat wangp kwa siku na je inafanya kaz had nje ya nchi na kuna ghram zzte za ziada,??
Ans,:YES,,inafany kaz had nje ya nchi bila gharam zzte za ziada na pia hakuna limit uwapgie watu wangp kwa cku,,,ni MB zako 2.

6.Je,naweza kuwa-activate wengine baada ya kua-activated.??
Ans,:YES,,baad ya kua activated unaweza kuwa-activate wengine ila lazma awe na version 2.11.561 ya whatsapp kweny cm yake.
Mkuu nimeshainstall naomba unipigie kwa no hii +31626427992
 
Back
Top Bottom