Haha wabogo bhna maelezo mengi wakati kinachohitajika ni just updates tu
Mimi whatsapp calling yangu nikimpigia mtu au akipiga yeye sauti yangu inanisikika nikimaliza kuongea ila ya ninayo ongea nae iko vizuri nini tatizo?
hata mi sometimes inakuwa hivyo sijui nini tatizo. . au ni shida za mtandao