Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
Sasa km hakupendeka nini kinamuuma na kwanini walikuwa bado wanaonekana km wapenzi?Alipendwa hakupendeka, wifi akamove on maana yake akakubaliana na hali ya jamaa kutopendeka nzuri zaidi akamsahau na kuendelea na maisha...
Sasa ndo jamaa anajileta upya, mwanaume mashauzi wa kazi gani?
Swali la nyongeza 1 tu.. Ole wako uulize mawili.
Lol
Hii danganya toto....
Kaby sema ukweli