Whats wrong with you?

Whats wrong with you?

hehe ndo maana nakupenda wifi eti ricky hajaelewa ndio maana alimwanaasha form 4 na 6.
Yaani wifi Erick alifeli mpaka mtihani wa mafundisho ati.


Mie pia nakupenda wifi angu ndio mana nipo hapa na wewe!
 
Yaani wifi Erick alifeli mpaka mtihani wa mafundisho ati.


Mie pia nakupenda wifi angu ndio mana nipo hapa na wewe!

hahaha basi hata wa birthday alifeli,khaa hata sijui amy anamuwezaje.
 
kuna mtu kamkera mjukuu wako mpaka kamfanya aanze kunywa konyagi asubuhi asubuhi.
Hebu peana mimi jina lake uone ntakachomtenda. Nikihamishia kojoleo lake usoni itatosha? Au na kinyeo nikihamishie kisogoni mwake?
 
Hebu peana mimi jina lake uone ntakachomtenda. Nikihamishia kojoleo lake usoni itatosha? Au na kinyeo nikihamishie kisogoni mwake?

mhhhh babu una maneno khaa nakuPM sasa hivi his full name! Mfanye uonavyo ni sawa kwako.
 
mhhhh babu una maneno khaa nakuPM sasa hivi his full name! Mfanye uonavyo ni sawa kwako.
Hahah nimfanye nionavyo? Hivi sheria ya Dave Cameron ilishapitishwa? Nikifungwa uje uniwekee dhamana....
 
Kuna mtu kanikera kweli na nimemsaka kote nimemkosa sasa i know kwa hapa ujumbe utamfikia.
Ulipendwa ukaringa,ukanianza upya baada ya kukutupulia mbali. Okay sasa baada ya kuona nimemove on ni nini unataka eeh?
What you did last night you know where,has put you in awkward position with me,and i promise you we can never even be friends.

Dedicating u the song..'' SONGA MBELE'' by alpha
 
Hahah nimfanye nionavyo? Hivi sheria ya Dave Cameron ilishapitishwa? Nikifungwa uje uniwekee dhamana....

ishapitishwa mbona?ingawa ni kimatendo zaidi! Wala usihofu nitakuwa na konny kukuwekea dhamani.
 
Back
Top Bottom