Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
- Thread starter
- #121
Hahaha! Mie m south africa, subiri waje watz wenzio watakujibu!
hehe usouth utautoa wapi wakati wewe mburuti wii?
Hahaha! Mie m south africa, subiri waje watz wenzio watakujibu!
Yaani wifi Erick alifeli mpaka mtihani wa mafundisho ati.hehe ndo maana nakupenda wifi eti ricky hajaelewa ndio maana alimwanaasha form 4 na 6.
Wifi unantisha ujue! Hammer umenunua lini? Mara ya mwisho ulinipitia na cruiser v8..
Yaani wifi Erick alifeli mpaka mtihani wa mafundisho ati.
Mie pia nakupenda wifi angu ndio mana nipo hapa na wewe!
Hehehe! Shemu, shemu, shemu, shemu huyo, shemu, shemu huyo!..shem wako ana mambo huyo na kaninunulia limo limepaki home
Amy mvumilivu wifi, asikwambie mtu kupenda sazingine sawa na upofu..hahaha basi hata wa birthday alifeli,khaa hata sijui amy anamuwezaje.
Hebu peana mimi jina lake uone ntakachomtenda. Nikihamishia kojoleo lake usoni itatosha? Au na kinyeo nikihamishie kisogoni mwake?kuna mtu kamkera mjukuu wako mpaka kamfanya aanze kunywa konyagi asubuhi asubuhi.
Hehehe! Shemu, shemu, shemu, shemu huyo, shemu, shemu huyo!..
adui hajarudi hapa hata kupiga chabo tu.
Amy mvumilivu wifi, asikwambie mtu kupenda sazingine sawa na upofu..
Hebu peana mimi jina lake uone ntakachomtenda. Nikihamishia kojoleo lake usoni itatosha? Au na kinyeo nikihamishie kisogoni mwake?
Itakuwa ngastuka na machale kumdesa!..ukiona hata kivuli chake tu nishtue!hehehe sijaona hata pua yake ana bahati kweli leo niliamka nae
Hahah nimfanye nionavyo? Hivi sheria ya Dave Cameron ilishapitishwa? Nikifungwa uje uniwekee dhamana....mhhhh babu una maneno khaa nakuPM sasa hivi his full name! Mfanye uonavyo ni sawa kwako.
Kuna mtu kanikera kweli na nimemsaka kote nimemkosa sasa i know kwa hapa ujumbe utamfikia.
Ulipendwa ukaringa,ukanianza upya baada ya kukutupulia mbali. Okay sasa baada ya kuona nimemove on ni nini unataka eeh?
What you did last night you know where,has put you in awkward position with me,and i promise you we can never even be friends.
Itakuwa ngastuka na machale kumdesa!..ukiona hata kivuli chake tu nishtue!
Hahah nimfanye nionavyo? Hivi sheria ya Dave Cameron ilishapitishwa? Nikifungwa uje uniwekee dhamana....
Dedicating u the song..'' SONGA MBELE'' by alpha
Lol wifi, mjusi??? Atajuta kufufua mapenzi yalokufa zamani..thanx for the dedication,nilishasonga mbele mda tu ni huyu mjusi anataka kunichanganyia mambo.
Kumbe kuna wakati ulimkubalia coz huwezi kumuacha ambaye huko nae....nikamuacha,mbona una kichwa kigumu weewe?
Hahahaaaa nimeshahama huko nimehamia ESSOna leo hata sigomi,nina njaa haifai hehe nimepita hapa unga limited nikakukumbuka aisee