Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #101
Ina maana ukamove on ukimaanisha ukamkubalia au?
nikamuacha,mbona una kichwa kigumu weewe?
Ina maana ukamove on ukimaanisha ukamkubalia au?
Thank u. Usilewe sana.
Tulia utaona makeke yangu baada ya muda mfupi..
Ah hapana huyu ni dada yangu pia na anamjua wifi yake so namshangaa anayemzingua......
Ila hakuna shida baadae tutakaa km wanafamilia tuone tunamsaidiaje kwa haraka maana ninavyomjua hakawii kugoma kula
Alipendwa hakupendeka, wifi akamove on maana yake akakubaliana na hali ya jamaa kutopendeka nzuri zaidi akamsahau na kuendelea na maisha...Ina maana ukamove on ukimaanisha ukamkubalia au?
Hahaha! Ikibidi ajitoe na jf kabisa...unaona story zetu wifi kaanza kucheka?
Wifi wafuata nini ungaltd?na leo hata sigomi,nina njaa haifai hehe nimepita hapa unga limited nikakukumbuka aisee
Mwambie basi afunguke full name..
Wifi wafuata nini ungaltd?
Hehehe!na nimechangamka mbaya kabisa
Yep ni kweli! Husninyo ndio mganga pekee mpwapwa ambae anavaa skin tight za taiwan
Hehehe!
Wacha nijipigie makofi manake sazile umepita hapa ulivyokuwa umevuta mdomo sikutegemea kama ungechangamka!
Ulikuwa unanywea pande zipi...hala hala na huo mkoba wifi, hiyo mitaa si wajua sio mizuri..nimetoka kunywa halafu nimepita hapo natafuta sehemu nyingine niweke kambi
Whats cooking hapa watanzania wenzangu?
Hahaha! Mie m south africa, subiri waje watz wenzio watakujibu!Whats cooking hapa watanzania wenzangu?
Ulikuwa unanywea pande zipi...hala hala na huo mkoba wifi, hiyo mitaa si wajua sio mizuri..
Kweli abarikiwe aliyegundua pombe.chezeiya spirit of the nation weewe?
Wifi unantisha ujue! Hammer umenunua lini? Mara ya mwisho ulinipitia na cruiser v8..niko kwenye zinga la hammer full ac my love hapana kuibiwa hapa.
Alipendwa hakupendeka, wifi akamove on maana yake akakubaliana na hali ya jamaa kutopendeka nzuri zaidi akamsahau na kuendelea na maisha...
Sasa ndo jamaa anajileta upya, mwanaume mashauzi wa kazi gani?
Swali la nyongeza 1 tu.. Ole wako uulize mawili.