sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Erick wapajua ungaltd?Hahahaaaa mwache azimike ndo atawajua watoto wa Unga Ltd walivyo...anajifanya kasahau eeee
Erick wapajua ungaltd?Hahahaaaa mwache azimike ndo atawajua watoto wa Unga Ltd walivyo...anajifanya kasahau eeee
UnDO....
Erickb52 unanionea vile my husband is not around eeh?..Dah ina maana unasema yeye hakuna jipya la kumharibu?
Una maanisha ni sugu?
kweli humpendi wifi yako hata kidogo
Kwani SL nakuonea nini?Erickb52 unanionea vile my husband is not around eeh?..
Hahahaaaa nisipajue tena?Erick wapajua ungaltd?
Hahahaaaa utajiju
Uko na shemeji au nije kukuchukua?
Dah ina maana unasema yeye hakuna jipya la kumharibu?
Una maanisha ni sugu?
kweli humpendi wifi yako hata kidogo
Hahahaaaa mwache azimike ndo atawajua watoto wa Unga Ltd walivyo...anajifanya kasahau eeee
Zimika niko hapa Metro nakuja kukuchukua.....dk 5 ntakuwa hapo
Hahahaaa sio mdaku hata kidogoyani wee ni mdaku.com
Alipendwa hakupendeka, wifi akamove on maana yake akakubaliana na hali ya jamaa kutopendeka nzuri zaidi akamsahau na kuendelea na maisha...
Sasa ndo jamaa anajileta upya, mwanaume mashauzi wa kazi gani?.....
Angalia wifi yako alivyokuua hapo...mimi au amy?coz mee napendwa
Teh Babylon leo hapalipi.....pale pazuri ijumaaaaaauko babylon au wapi?
Angalia wifi yako alivyokuua hapo...
Mnakanyagana kila mtu anasema lake.....
Ila hapo juu ndo panathibitisha kuwa wewe ndo PENDAPENDA na hupendwi Lol
Kama SweetLady angekuwa ndo wifi yangu na ananiua hivi ningeandamana hadi kwa kaka amwache
Teh Babylon leo hapalipi.....pale pazuri ijumaaaaaa
Hahahaaaa we saa hizi utakuwa uko home jamaaa anangoja uloggOff aombe haki yake...njoo hapa sakina bar fanya haraka.
Hahahaaaa we saa hizi utakuwa uko home jamaaa anangoja uloggOff aombe haki yake...
Ntakutafuta Jumamosi....
Kanyaga twende,tupa nje,ruka ukuta.Kuna mtu kanikera kweli na nimemsaka kote nimemkosa sasa i know kwa hapa ujumbe utamfikia.
Ulipendwa ukaringa,ukanianza upya baada ya kukutupulia mbali. Okay sasa baada ya kuona nimemove on ni nini unataka eeh?
What you did last night you know where,has put you in awkward position with me,and i promise you we can never even be friends.
Kanyaga twende,tupa nje,ruka ukuta.
Nipitie niko hapa darajani karibu na 7 Up......Halafu usipite uonenaelekea palace hotel muda si mrefu so be fast