Whats wrong with you?

Whats wrong with you?

Erickb52 unanionea vile my husband is not around eeh?..
Kwani SL nakuonea nini?
Mimi kwa kawaida sijui kusema uongo jamani....
Kwanini nisiseme ukweli kwa manufaa ya Kaby?
Kwanza hata wewe una kashfa ya kupanga appointment na Bagah mkiwa Shinyanga....na unamjua Bagah hajatulia unataka nini ambacho hupati kwa Nitty?
Lol
Kwanza waweza kuta Kaby ana nafuu kuliko wewe.....Kwikwikwiiiiiii
 
Alipendwa hakupendeka, wifi akamove on maana yake akakubaliana na hali ya jamaa kutopendeka nzuri zaidi akamsahau na kuendelea na maisha...
Sasa ndo jamaa anajileta upya, mwanaume mashauzi wa kazi gani?.....
mimi au amy?coz mee napendwa
Angalia wifi yako alivyokuua hapo...
Mnakanyagana kila mtu anasema lake.....
Ila hapo juu ndo panathibitisha kuwa wewe ndo PENDAPENDA na hupendwi Lol
Kama SweetLady angekuwa ndo wifi yangu na ananiua hivi ningeandamana hadi kwa kaka amwache

 


Angalia wifi yako alivyokuua hapo...
Mnakanyagana kila mtu anasema lake.....
Ila hapo juu ndo panathibitisha kuwa wewe ndo PENDAPENDA na hupendwi Lol
Kama SweetLady angekuwa ndo wifi yangu na ananiua hivi ningeandamana hadi kwa kaka amwache


theres nothing you can ever do to separate us
 
Kuna mtu kanikera kweli na nimemsaka kote nimemkosa sasa i know kwa hapa ujumbe utamfikia.
Ulipendwa ukaringa,ukanianza upya baada ya kukutupulia mbali. Okay sasa baada ya kuona nimemove on ni nini unataka eeh?
What you did last night you know where,has put you in awkward position with me,and i promise you we can never even be friends.
Kanyaga twende,tupa nje,ruka ukuta.
 
Back
Top Bottom