sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
So unaniacha nilogwe peke yangu?Dah acha nilog out. Akikuja mwambie nilikuwa natania bana asje akakasirika akaniloga kweli
So unaniacha nilogwe peke yangu?Dah acha nilog out. Akikuja mwambie nilikuwa natania bana asje akakasirika akaniloga kweli
Wewe si unalo lile hirizi alokuachia kongosho litakusaidia. Lile ni subiani proofSo unaniacha nilogwe peke yangu?
Mwambie basi afunguke full name..Ooh! Thanks!
Ntakupa zawadi nikimuona japo anatabasamu tu lol.
Hahahaha! Na wewe lile lakwako nililiona tukioga siku ile limeisha nguvu au?Wewe si unalo lile hirizi alokuachia kongosho litakusaidia. Lile ni subiani proof
Yep ni kweli! Husninyo ndio mganga pekee mpwapwa ambae anavaa skin tight za taiwanAkija husninyo ntamwambia atusaidie kumpoteza kimazingara, nasikia ndio kazi yake huko Mpwapwa!
Ndio naendelea kumbembeleza hapa, anavyoringa we acha tu J B... Akifunguka nakustua kwa PM!Mwambie basi afunguke full name..
Hahahaha! Umejuaje?Yep ni kweli! Husninyo ndio mganga pekee mpwapwa ambae anavaa skin tight za taiwan
Niliona matangazo yake fesbukuHahahaha! Umejuaje?
Daaah yuko juu... Mods wamehamisha sred ya smile..Niliona matangazo yake fesbuku
Nililisahau gesti msumbijiHahahaha! Na wewe lile lakwako nililiona tukioga siku ile limeisha nguvu au?
Ndio naendelea kumbembeleza hapa, anavyoringa we acha tu J B... Akifunguka nakustua kwa PM!
Sasa sredi inaanzishwa na marehemu wewe ulitegemea nini? Mi nilijua tuDaaah yuko juu... Mods wamehamisha sred ya smile..
Be safe & Love you too!Dah! chwitiledi acha nilog out bana, manake apa nishacancel sana kwa mzuka wa hivo vimaneno vyako vya kutamanisha, nisije nikafkuzwa kibarua halaf na wewe ukanitema ikala kwangu.
be safe! Luv u
yaani ulivyomwanika huyo mwenye herufi L na O.... uwiiiiiiii ka mie napotea jamvini kwa muda
Hahahaha!.. Heri yangu mimi sijasema lol...Sasa sredi inaanzishwa na marehemu wewe ulitegemea nini? Mi nilijua tu
Klorokwini ndie kaka nilienae, akizaliwa yeye mimi, kama umempenda sema niunganishe.. Ni handsome kama kakako nakuapia hutajuta kuwa nae!
Ok... Wacha na mimi nijitahidi kufanikisha...Poa. Am patientl waiting.
Hapana, anataka ajiunge na band yako, mfikirie.
Usijali, ntaongea na kongosho akutengenezee lingine...Nililisahau gesti msumbiji