What's the last movie that made you cry?

What's the last movie that made you cry?

ha ha ha wacha nisiseme kitu
CC OLESAIDIMU!!

Semaaa. . . . . .mie sikulia ila nilisikitika sana kwenye Lone Survivor. . . . . .baada ya jamaa kupigwa RPG na kubingilika mpaka chini. . .. . . halafu jamaa alipotua tu akauliza. . . ."where is my rifle. . . . ????. . . .ilinisikitisha sana jamaa kakomaa na kaiva yupo matesoni, deadly zone ila anakumbuka mwanzi wake. . . ..

Nyingine ni Annapolis main actor Tyrese G mule ana act kama trainer katika camp ya kijeshi kuna bonge bonge black hivi anapewa drill amalize within 4minutes ila anamaliza 4:05 just five secs anaambiwa kafeli avue combat na buti arudi uswazi... .. .that was sad indeed. . . .jamaa anajirusha ghorofani lakini hafi. . . .
 
Semaaa. . . . . .mie sikulia ila nilisikitika sana kwenye Lone Survivor. . . . . .baada ya jamaa kupigwa RPG na kubingilika mpaka chini. . .. . . halafu jamaa alipotua tu akauliza. . . ."where is my rifle. . . . ????. . . .ilinisikitisha sana jamaa kakomaa na kaiva yupo matesoni, deadly zone ila anakumbuka mwanzi wake. . . ..

Nyingine nimeishau jina ila main actor Tyrese G mule ana act kama trainer katika camp ya kijeshi kuna bonge bonge black hivi anapewa drill amalize within 4minutes ila anamaliza 4:05 just five secs anaambiwa kafeli avue combat na buti arudi uswazi... .. .that was sad indeed. . . .jamaa anajirusha ghorofani lakini hafi. . . .
Nyingi sana hazina hata idadi!!nina huruma sana mm!
 
Tears of the sun alinitibua yule starling waqt wale jamaa wanasema mungu tuokoe yeye akasema mungu ameisahau africa miaka mingi.
 
The stoning of Soraya
Captain Phillips
Neria
Sarafina
Not without my daughter
Sarviour
Sometimes in April

Kwakuwa mi ni mgumu sana wa kutoa michozi, wife huwa ananisaidia sana kulia kwenye hizi movie....
 
"my love"
ni ya kinigeria,wakati Ramsey amerudi kwa mkewe aliyelazwa hosp toka kwa mganga kutafuta pesa huku akiwa amemchoma kisu mkewe ktk kile kioo,hasa kale kachombezo na wimbo 'please forgive me'
 
"my love"
ni ya kinigeria,wakati Ramsey amerudi kwa mkewe aliyelazwa hosp toka kwa mganga kutafuta pesa huku akiwa amemchoma kisu mkewe ktk kile kioo,hasa kale kachombezo na wimbo 'please forgive me'

Umekumbusha mbali sana!
 
Semaaa. . . . . .mie sikulia ila nilisikitika sana kwenye Lone Survivor. . . . . .baada ya jamaa kupigwa RPG na kubingilika mpaka chini. . .. . . halafu jamaa alipotua tu akauliza. . . ."where is my rifle. . . . ????. . . .ilinisikitisha sana jamaa kakomaa na kaiva yupo matesoni, deadly zone ila anakumbuka mwanzi wake. . . ..

Nyingine ni Annapolis main actor Tyrese G mule ana act kama trainer katika camp ya kijeshi kuna bonge bonge black hivi anapewa drill amalize within 4minutes ila anamaliza 4:05 just five secs anaambiwa kafeli avue combat na buti arudi uswazi... .. .that was sad indeed. . . .jamaa anajirusha ghorofani lakini hafi. . . .

Mzee ukiwa kwenye ile milima ya jamaa wa taliban rifle ndio kitu pekee kitakacho kuongezea muda wa kuishi.....ile muvi inasikitisha sanaa
 
Kuna hio movie ya kihindi aashiqui ilinifanya nitoe chozi na ilinitesa takribani wiki nzimaa naifikiria yenyewe tu...na nyingine ingawa sikutoa chozi ila niliumia tu ni the hobbit:battle of five armies iliisha vibaya killi na thorin kufa
 
Back
Top Bottom