Wakati naangalia hii filamu kwenye grossary iliyo karibu na home niliibiwa hela ya unga nusu na robo niliotumwa home...wakati maji jikoni yakiwa yanachemka....ikabidi maji wamuogeshe mtoto.....huku mzee nikiambulia kipigo kitakatifu.......Kwa nini? ulilia mkuu KikulachoChako!
Nsyuka
Ni ya dk 93.
mkuu sasa hiyo movie ya HACHI nimeiona,, aisee nimekubali: upendo ya hachi za professor sizani kama kuna mtu angeweza kufanya vile, 10 years mbwa hakati tamaa!!!
Ulizingatia kwa huyo mbwa aliwahi kuwepo kweli na kwamba hiyo si hadithi ya kutunga?
Je? ni movie gani ambayo ushawai kuangalia na ilikusabisha ukalia kwa kutoa machozi kabisa,
for me, THE FOULT IN OUR STARS which been directed by josh boone,
the foult in our stars, that hurt so bad like the last fifteen minutes of the move i saw balling my eyes out in theater. and when it ended i cried for another.,
NB; tufahamishe ni kitu gani au tukio gani? lilokufanya hadi ukalia, na ni vyema kama ukimtaja na muhusika aliyekufanya hadi ukalia, pamoja na simulizi fupi ya filamu hiyo
Mapango ya amboni..!!