Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,624
- Thread starter
- #201
I got this Stephot.It is bad if takes all the balance you have,some can't holdback till when they're broke,that is when they say shopping is bad...
I got this Stephot.It is bad if takes all the balance you have,some can't holdback till when they're broke,that is when they say shopping is bad...
Ila zote zina kazi moja? Na results zake ni sawa baada ya kuvuta.?Sativa ni jike na indica ni dume
Sent using Samsung s10
Yaani ni kuandika kitu ambacho unakifanya au unatumia huku ukijua kabisa ni kibaya na ni hatari kwako au kwa afya yako, lakini hauwezi kuacha kukifanya au kukitumia.Nitafsirie sasa kwa ufupi na mimi nichangie
Naomba unikopeshehuruma
aisee kuhurumia watu sometimes kunanitesa sana
namkopesha mtu mwisho wa siku namsamehe tu n.k
Sent using Jamii Forums mobile app

15 rounds? Hiyo ndiyo Mzee toboa anaiita"serial masturbation ".alot, more than 15 rounds
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa nikienda kusoma nitarudi kukuambia.Nenda kasome kisha urudi kuniambia.
Itabidi nianze kuifanya lugha yangu iwe laini, ila hasa kwa ajili yako, uwe unanielewa vizuri.
Biting your nails is auto-cannibalismI swallow both nails, skin and blood.
i know it is pretty disgusting. Biting my nails or eating my own flesh is not considered cannibalism unless i bite other people's nails.



Ukioa naomba mrejesho kwenye hili.Ndio nakula mkuu,cha kwanza mwanamke wangu anatakiwa anijue ili niwe free ila tukiwa mbele ya kadamnasi siwezi kula hivyo
😅😅😅😅😅Ukioa naomba mrejesho kwenye hili.
Tuanze lini hiyo remedy ?Sawa Diaspora USA.
Hivi kwenye gari si wanasema usi smoke? Hauogopi litalipuka?
Indica inakaa mda highness kichwani na haina tetere nyingi ni strong zaidi ya sativaIla zote zina kazi moja? Na results zake ni sawa baada ya kuvuta.?
Hahah halafu, you know what?Hata mimi naogopa kuendeshwa na mtu anayedrive kwa speed kubwa.
Huwa nahisi roho nimeishikilia mkononi.
Hata hivyo bado uko different sana wengine hawawezi hata wewe shahidi nadhani.Only games, kwa nilizo orodhesha hizi ngumu lakini.
Zile rahisi nazipenda tangu mwanzo.
daaah ukicheza games ukija shtuka unashangaa saa 8 usiku hii hapa, na asubuhi inatakiwa kuwahi mishe.Hyo tabia nilikua kuwa nayo kipindi nipo addicted na video games muda mwingine nilikua natoboa hadi asubuhi.
Why? I thought you are below 40 .
Are you willing to wait that long? Siku isiyojulikana.
Never, i never do bed with strangers! We must atleast have some time together with a bit of examinations on your characters as well as health status.With strangers?
Ukiogopa unakufa a million times before your real death bro! Ukiwaza gridi ya taifa unaukwa fasta, umdhaniaye hana ndio anakupa.Hongera sana Kamanda wanasemaga Mjeshi hatakiwi kuogopa Kufa
Consequences? Like?