What's the bad/dangerous thing(s) you can't stop doing?

What's the bad/dangerous thing(s) you can't stop doing?

Mkuu nifundishe hiyo tahjudi ili uniokoe Tafadhali

Hata mlinzi kwangu nilimwambia akapumzike kwao maana Mimi ikifika usiku sipati usingizi kabisa
Ila kuanzia SAA 5am ndo unakuja

Imefikia hatua bila tungi kichwani basi hata mmbu akitua juu ya bati naskia kishindo chake.
tunafanana mkuu, mimi kulala ni sawa na nyumba bila paa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom