Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,624
- Thread starter
- #141
Utakuwa unatafuna vikucha wewe.
Kumbe uliona jamani!!
Utakuwa unatafuna vikucha wewe.
Kumbe uliona jamani!!
Sio ulikosa wa kubishana na wewe?Sio kweli, uzuri huwa sishindani ndio maana huwa sisubiri nani mshindi kadhalika huwa sisubiri tufikie hitimisho, mimi huwa nikimaliza kazi yangu naachana na wewe. Rejea mijadala mingi ambayo huwa nashiriki. Hata huu wa umbo la Dunia, nilipo maliza kazi yangu nikaondoka, nimewaacha waendelee kubishana.
Ndio mana watu hamtaki kuoa. Mtakosa vitu kama hivi mkioa. Lol.
Ah wapi hizo porojo tu sufuria lina raha yake bhanaa tena ukutane na ukoko flani hivi mlaini una mafuta ni hatari
Hapana jamani mdogo wangu mzuri!!Utakuwa unatafuna vikucha wewe.
How many wives do you have mpaka sasa Stephot?Loving/marry someone you don't know what is in her heart and mind...
Hapana, wao walitaka tuendelee na mjadala, ila nikamaliza kwa mtindo ule.Sio ulikosa wa kubishana na wewe?
To be honest I've never encountered a girl like you.Yes ile ni PS4.
Yes I am a gamer. My hobbies are Reading> Movies > Video Gaming >Music>Traveling and Drawing.
Nimeicheza ni nzuri sana. I have played a lot of games ila tukiongelea Bloodborne no games come close kwa raha za hii. I love the soulsborne games.
Mi sitajali kwanza nikioa mimi kama nipo home show ya jikoni nasimamia mwenyeweNdio mana watu hamtaki kuoa. Mtakosa vitu kama hivi mkioa. Lol.
Kitu ambacho ni risky kwangu ni STD's but i never enjoy putting on rubbers!
Nyama to Nyama anyday!
Ooh yeah bro...They call me Schumacher...I guess you know why
Andika hata kimoja Don.
We utakuwa mwangaSleeping late waking up late...i guess m kind of an evening person..nakua very active jioni kuliko asubuhi
But please don't keep me waiting dear sis.Worry out my lil sisy...
Ni kufanyaje?KUGEGEDA
Hii tabia nimeweza acha.They call me Schumacher...I guess you know why
Sehemu gani?
Yes off course, don't you believe me?Are you serious??
