what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,861
guys, let us put our idz aside, today we are going to generate new id's live from mmu..

what is your also know as name?

mi naitwa economiser!... wapi lara 1, The Boss, Heaven on Earth, Nyani Ngabu, Madame B, miss strong, miss chagga, Washawasha, Katavi, Ruttashobolwa(olinka iwe!), watu8..., Mr Rocky, LiverpoolFC, KakaKiiza, Shark, Eiyer, Bahati yangu, Invisible, Fang, Moderator... and all others!!!!

let us chart now..
548927_267774299994760_603538730_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Naitwa Titiy.

This is a last/second modified version.

Wakati niko Mdogo, sijaanza kuongea vizuri, kila kitu nilikua nakiita titii, kula titii, mtu titii, n.k.

Basi Brother wangu ambae nae hatujaachana sana alikua akiona watu wako na mimi, ananinyooshea kidole huku akitaja titii.
 
Enzi nasoma walikuwa wananiita "Eliumbo".
Nilipewa hilo jina baada ya kupenda mada ya Elimu ya Maumbo katika somo la Hisabati.

Now ofisini wananiita Madame Kijungu.
Sijui kwa nini!!!!
MMAHE.....habari yako, snowhite....habari yako binafsi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom