What is wrong with me?

What is wrong with me?

Hi JF..... idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....

Naona kila mtu ni fake ...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...

Sijui nifanye nini ...
JINI LINATAKA LIKUINGIE
 
Yaonekana ulideka wakati wa makuzi,wanaopata matatizo kama yako no wale waliodeka,wanapotoka kwenye mazingira hayo wanaona kila kitu ni kibaya lakini vinginevyo mbona poa tu! Ushauri mtafute Rafiki wa karibu alive bize mda mwingi
na ufanye anayofanya.
 
Yaonekana ulideka wakati wa makuzi,wanaopata matatizo kama yako no wale waliodeka,wanapotoka kwenye mazingira hayo wanaona kila kitu ni kibaya lakini vinginevyo mbona poa tu! Ushauri mtafute Rafiki wa karibu alive bize mda mwingi
na ufanye anayofanya.
Haya...
 
Back
Top Bottom