Saikolojia inatuathiri sana........................inferiority complex.............
Na hata ukiangalia zile nchi zenye majina makubwa kwenye soka nao wanakuwa na superiority complex inawasaidia sana...................kwa mfano ukiangalia mechi ya jana CMR na Dens........CMR hawakuwa na sababu ya kutoshinda ile gemu.....................na jamaa wa Dens alivyo-score lile goli la pili.............yaani nikama alijua tu kuwa hawa waafrika hawawezi kuzuia lile shuti dogo........na ikawa goli kweli................yaani inaudhi sana..................
Na hata ukiangalia zile nchi zenye majina makubwa kwenye soka nao wanakuwa na superiority complex inawasaidia sana...................kwa mfano ukiangalia mechi ya jana CMR na Dens........CMR hawakuwa na sababu ya kutoshinda ile gemu.....................na jamaa wa Dens alivyo-score lile goli la pili.............yaani nikama alijua tu kuwa hawa waafrika hawawezi kuzuia lile shuti dogo........na ikawa goli kweli................yaani inaudhi sana..................