-Je ni makocha wa kigeni?
-Je ni kukosa pesa?
-je wachezaji wanafanya makusudi?
Yaani mtu ukiangalia jinsi timu za afrika zinavyofanya world cup unasikia kichefuchefu, leo Nigeria ndio wamenitoa moyo kabisa!!!
Tuna wachezaji wengi wanangara dunia nzima, lakini kwa nini tunashindwa tukicheza nchini kwetu?
Nauliza, what is wrong with us?
-Je ni kukosa pesa?
-je wachezaji wanafanya makusudi?
Yaani mtu ukiangalia jinsi timu za afrika zinavyofanya world cup unasikia kichefuchefu, leo Nigeria ndio wamenitoa moyo kabisa!!!
Tuna wachezaji wengi wanangara dunia nzima, lakini kwa nini tunashindwa tukicheza nchini kwetu?
Nauliza, what is wrong with us?