What is going on? Wachangiaji wa hoja ya mashtaka ya Mch. Gwajima (MB) na Jerry Silaa (MB) wote ni wajumbe wa ile kamati iliyowahoji..!!

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
Mimi nashangaa kidogo jinsi mambo yanavyokwenda dhidi ya mashtaka ya wabunge Mch. Gwajima (Kawe - CCM) na Jerry Silaa (Ukonga - CCM) ambapo mjadala unaendelea hata sasa niandikapo hoja hii...

Tayari m/kiti wa kamati ya "kuhoji" wenzake ameshasoma taarifa ya mahojiano na mapendekezo ya hatua (adhabu) wanayopaswa wapewe wabunge hao "waliokosa"...

Kinachoendelea kwa sasa ni wabunge kuchangia hoja ili kukubaliana au kupingana na mapendekezo ya kamati...

Ila kuna hili la kushangaza kidogo. Karibu 100% ya wanaochangia mapendekezo ya kamati ni wajumbe walewale wa kamati ya "KUHOJI" washtakiwa...

Katika akili ya kawaida, mimi nilidhani kuwa wajumbe wote wa kamati ya "kuhoji" baada ya kuwa wamemaliza kazi yao ya kupata utetezi wa wabunge wenzao wanaowatuhumu na kisha kuwasilisha ripoti yao bungeni, basi wangeishia hapo na kukaa pembeni kabisa na kuwaacha wabunge wengine wasio wanakamati iliyotoa "hukumu" wajadili maamuzi au mapendekezo yao ya adhabu na sababu/ushahidi wa makosa waliyoyaona...

Lakini kilichofanyika leo ni upuuzi mtupu. Yaani Spika awatuhumu wabunge wenzake, akawapeleka kwenye kamati kwa maelekezo yake, kamati hiyo inasikiliza utetezi wa watuhumiwa, inawahukumu, ripoti inapelekwa bungeni/spika, wanachangia hoja na kisha kujifanya wanapiga kura ya kukubaliana na hukumu...

Yaani ni full maigizo mwanzo mwisho!!
 
Mwanaume mashine na gwajiporn ndio mashine yenyewe Combine harvester wanaigwaya.
Kingu anasema anshangaa CCM kwanini haichukui hatua.
Mariam tomboy ditopile anasema Kawe ina wagombea wengi kwanini asivuliwe ubunge.
 
Mbunge gani achangie upuuzi huo, Gwajima alitakiwa ajibiwe kitaalamu ujinga wake uonekane,lakini hawana majibu.
Waliolikoroga acha walinywe wenyewe.
 
Mwanaume mashine na gwajiporn ndio mashine yenyewe Combine harvester wanaigwaya.
Kingu anasema anshangaa CCM kwanini haichukui hatua.
Mariam tomboy ditopile anasema Kawe ina wagombea wengi kwanini asivuliwe ubunge.
Ukiwaona Ditopile aliua dereva mchana kweupe huyu atakuwa nduguye,anajikomba tu abaki Bungeni.
 
Mimi nashangaa kidogo jinsi mambo yanavyokwenda dhidi ya mashtaka ya wabunge Mch. Gwajima (Kawe - CCM) na Jerry Silaa (Ukonga - CCM) ambapo mjadala unaendelea hata sasa niandikapo hoja hii...

Tayari m/kiti wa kamati ya "kuhoji" wenzake ameshasoma taarifa ya mahojiano na mapendekezo ya hatua (adhabu) wanayopaswa wapewe wabunge hao "waliokosa"...

Kinachoendelea kwa sasa ni wabunge kuchangia hoja ili kukubaliana au kupingana na mapendekezo ya kamati...

Ila kuna hili la kushangaza kidogo. Karibu 100% ya wanaochangia mapendekezo ya kamati ni wajumbe walewale wa kamati ya "KUHOJI" ambao waliwahoji washtakiwa...

Katika akili ya kawaida, mimi nilidhani kuwa wajumbe wote wa kamati ya "kuhoji" baada ya kuwa wamemaliza kazi yao ya kusikiliza shauri kwa kuwahoji wanaowatuhumu na kisha kuwasilisha ripoti yao bungeni, basi wangewaacha wabunge wengine wasio wanakamati wajadili maamuzi au mapendekezo yao na sababu walizozitoa kwa adhabu hizo...
Uko sawa
 
Mimi nashangaa kidogo jinsi mambo yanavyokwenda dhidi ya mashtaka ya wabunge Mch. Gwajima (Kawe - CCM) na Jerry Silaa (Ukonga - CCM) ambapo mjadala unaendelea hata sasa niandikapo hoja hii...

Tayari m/kiti wa kamati ya "kuhoji" wenzake ameshasoma taarifa ya mahojiano na mapendekezo ya hatua (adhabu) wanayopaswa wapewe wabunge hao "waliokosa"...

Kinachoendelea kwa sasa ni wabunge kuchangia hoja ili kukubaliana au kupingana na mapendekezo ya kamati...

Ila kuna hili la kushangaza kidogo. Karibu 100% ya wanaochangia mapendekezo ya kamati ni wajumbe walewale wa kamati ya "KUHOJI" ambao waliwahoji washtakiwa...

Katika akili ya kawaida, mimi nilidhani kuwa wajumbe wote wa kamati ya "kuhoji" baada ya kuwa wamemaliza kazi yao ya kusikiliza shauri kwa kuwahoji wanaowatuhumu na kisha kuwasilisha ripoti yao bungeni, basi wangewaacha wabunge wengine wasio wanakamati wajadili maamuzi au mapendekezo yao na sababu walizozitoa kwa adhabu hizo...
Usishangae!
Hizo ni politics za Bunge, unapanga watu ambao unajua wataongea kufuata mwelekeo fulani!
 
Mimi nashangaa kidogo jinsi mambo yanavyokwenda dhidi ya mashtaka ya wabunge Mch. Gwajima (Kawe - CCM) na Jerry Silaa (Ukonga - CCM) ambapo mjadala unaendelea hata sasa niandikapo hoja hii...

Tayari m/kiti wa kamati ya "kuhoji" wenzake ameshasoma taarifa ya mahojiano na mapendekezo ya hatua (adhabu) wanayopaswa wapewe wabunge hao "waliokosa"...

Kinachoendelea kwa sasa ni wabunge kuchangia hoja ili kukubaliana au kupingana na mapendekezo ya kamati...

Ila kuna hili la kushangaza kidogo. Karibu 100% ya wanaochangia mapendekezo ya kamati ni wajumbe walewale wa kamati ya "KUHOJI" ambao waliwahoji washtakiwa...

Katika akili ya kawaida, mimi nilidhani kuwa wajumbe wote wa kamati ya "kuhoji" baada ya kuwa wamemaliza kazi yao ya kusikiliza shauri kwa kuwahoji wanaowatuhumu na kisha kuwasilisha ripoti yao bungeni, basi wangewaacha wabunge wengine wasio wanakamati wajadili maamuzi au mapendekezo yao na sababu walizozitoa kwa adhabu hizo...
Vilaza club. Vipi Covid-19; mbona nao kimya?
 
Back
Top Bottom