What is "DEEP STATE"

What is "DEEP STATE"

Mkuu umeelezea vema sana sasa sina maswali kwa wachangiaji.

Hawa wakiamua uondoke utaondoka hata kama utaweka watu wako wa karibu kila Idara.

IGP anaweza akawa china ya OCS
CDF akawa chini ya WO-II
Magereza hata akawa chini ya mfungwa.

Anyway this is "DEEP STATE" wanaweza wakawa wazawa au hata nchi nyingine dhidi ya nchi nyingine kama ilivyokuwa kwa RUSSIA ila walistukiwa mapema wakapindua meza enzi za Gorbachev
Ndio hivyo mkuu
 
Kuna video moja niliangalia YouTube,Kuna former US Government official kwenye serikali ya Bill Clinton (I think alikuwa one of the advisers wa Bill Clinton).Anasema kuna siku kipindi hicho rais Clinton alikuwa anataka ku sign executive order kuruhusu CIA and Pentagon watoe classified files kuhusu UFO and Alien existence ili Clinton aeweze kuwa full briefed kuhusu classified UFO files.Sasa kuna Afisa mmoja wa wa juu wa pentagon alimtembea nyumbani kwake akawa anamwambia akamshauri rais Clinton aachane na mpango wake kwani anasikitika watashindwa kumlinda na ataishia kama JF Kennedy,yaani kupigwa risasi/kuuawa.Anasema alikuwa anaskia tu kuhushu deep state lakini siku hiyo ndio aliamini kuna watu wana run America above president.
Yaani Deep State wanaamini president wa US ni temporary Employee,hivyo hatakiwi kujua kila kitu wala hatakiwi kuambiwa kila kitu.Kuna some top secret national security plans and infos presedent hatakiwi kuambiwa wala kujua na siku akijua wanam neutrolize chap.Jamaa anakwambia alienda kumwambia Clinton kwamba aachane na mpango wake.Ndio hadi leo unaskia mambo ya UFO yanabaki kuwa speculations tu ila kuna watu wachache huko Pentagon na CIA wanajua issue nzima..."DEEP STATE EXIST" wala sio conspiracy.
 
Nimesoma post na comments kwanza then ndiyo niongee nacho kifahamu pia.
Kuna mdau kasema kuwa hawapigi kura sio kweli kwanza watu wa aina hii hawajulikani ni akina nani ni jinsi gani na ni wangapi ila ni binadamu kama sisi ( inasemekana na wengine wapo wasio binadamu wa kawaida) na kura wanapiga ambao ni binadamu kwasababu nao pia ni sehemu ya watu wa eneo flani nchi yoyote.

kwa upande wa Africa sio rahisi waamue nani apite kutokana na utaratibu unaotumika kuwapata viongozi lakini wao watakuongoza ukisha chaguliwa kuwa Rais wa nchi flani watakufata na wanataratibu za kukupatia hata kwa vitisho.
Ndiyo maana ukiwa kiongozi mzuri africa watakufanyia figisu kukuchukiza na wananchi wako mfano gadafi analaumiwa au kuhisiwa Obama lakini kuna watu nyuma ya Obama.

nasema africa hamna kwasababu wangekuwepo kusingekuwa na nchi Rais kukaa madarakani muda mrefu, kwahiyo sisi hatuna ila wapo wanao waongoza marais wote baada ya kuchaguliwa nao sio wa nchi zetu ni wanje ambao wengine wanahusishwa na freemasonry na devil 👿 worshipers.

ni Sawa sawa na papa wa dunia ( samahani waroman catholic) inasemekana pia wao ndio wanamchagua papa wa kumweka au kumpachika.

hawa watu wapo na sio wachache kunakuwa na wengine ambao wanaandaliwa kwasababu kuna kuzeeka na kufa kwahiyo lazima wabaki watakao endeleza. Inasemekana hawa ni binadamu wenye maarifa ya ziada kulinganisha na binadamu wa kawaida wengine wanadai ni viongozi wakubwa wa freemasonry duniani.

unaposikia mpango wa kupunguza na kuwa na idadi flani ya binadamu ni hao hao wanao tengeneza taratibu. Hawawezi kushindwa kumuongoza kila kiongozi kwasababu ndio wamiliki wa mabank yote makubwa duniani.
 
Kuna video moja niliangalia YouTube,Kuna former US Government official kwenye serikali ya Bill Clinton (I think alikuwa one of the advisers wa Bill Clinton).Anasema kuna siku kipindi hicho rais Clinton alikuwa anataka ku sign executive order kuruhusu CIA and Pentagon watoe classified files kuhusu UFO and Alien existence ili Clinton aeweze kuwa full briefed kuhusu classified UFO files.Sasa kuna Afisa mmoja wa wa juu wa pentagon alimtembea nyumbani kwake akawa anamwambia akamshauri rais Clinton aachane na mpango wake kwani anasikitika watashindwa kumlinda na ataishia kama JF Kennedy,yaani kupigwa risasi/kuuawa.Anasema alikuwa anaskia tu kuhushu deep state lakini siku hiyo ndio aliamini kuna watu wana run America above president.
Yaani Deep State wanaamini president wa US ni temporary Employee,hivyo hatakiwi kujua kila kitu wala hatakiwi kuambiwa kila kitu.Kuna some top secret national security plans and infos presedent hatakiwi kuambiwa wala kujua na siku akijua wanam neutrolize chap.Jamaa anakwambia alienda kumwambia Clinton kwamba aachane na mpango wake.Ndio hadi leo unaskia mambo ya UFO yanabaki kuwa speculations tu ila kuna watu wachache huko Pentagon na CIA wanajua issue nzima..."DEEP STATE EXIST" wala sio conspiracy.
Sure mkuu hii kitu "deep state" ni pevu sana na inahusisha watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii.


Nakuhakikishia wanaojua alipo Mkuu #1 ni wachache sana yawezekana hata VP na PM pia hawajui wanaimba napambio tu kama MATAGA hakuna wanachojua
 
“Deep State” nchini Tanzania


“Deep State” kwa tafsiri isiyo rasmi ni “Waundaji na Waendeleza Taifa”. Tanzania neno “System” (Mfumo) huwa linatumiwa sana kumaanisha deep state lakini kiuhalisia deep state sio system. System ni mojawapo ya zao dogo tu la deep state na inaweza kusambaratishwa wakati wowote.

Deep State ni kundi lisilo rasmi la kiintelijensia ambalo hujumuisha makundi mbalimbali. Hujumuisha baadhi ya watu waliopo katika utumishi na wastaafu na hata marehemu (maandishi yao) katika intelijensia ya jeshi, usalama wa taifa na hawa huja pamoja si kwa kuambiwa au kuelekezwa bali kwa yale ambayo wao wanayaamini kimapokeo kuwa ni misingi ya uhai wa taifa. Watu hawa huamua nani awe mgombea Urais kwa mfano, nani awe Makamu wake, nani awe Waziri Mkuu, nani awe tajiri mkubwa (kwa nchi nyingi za Afrika kwa mfano matajiri wengi wamefanikiwa kwa kupitia kazi za miradi ya umma) kadhalika. Maamuzi haya hayafanywi usiku mmoja, wakati mwingine huchukua miaka wakitumia njia zote zinazowezekana kuhakikisha nani anafikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi au sehemu fulani nyeti na nani hafiki.

Wakiamua wewe hutakaa uwe Rais wa nchi kwa mfano, huwezi kuwa. Huwa hawana upendeleo, wana roho ngumu, maamuzi magumu, hakuna anayemzidi mwingine kwa uzito na umuhimu wa maoni na hutazama mustakabali wa nchi kwa miaka mingi mbele, tofauti na wanasiasa ambao wao hutaka tu kushinda chaguzi. Ifahamike kuwa inawezekana hata Rais aliye madarakani asifahamu kwa hakika watu hao wote kwa ujumla wao. Hii hutokea hasa katika nchi zinazofanya chaguzi kila baada ya miaka michache. Waasisi wengi wa mataifa huwa ni sehemu ya deep state mfano Mwalimu Nyerere ambaye maandiko yake ndicho chanzo cha Waziri Kiongozi wa zamani wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad kufungwa gerezani na hadi leo kuendelea kuota ndoto za kuwa Rais wa Zanzibar ambazo huenda anakwenda nazo kaburini. Deep state huwa ni kama jini, wakati mwingine unaweza kusema halipo ni maneno tu.

Deep state huweza kutikisa nchi kwa kuuhujumu uongozi ulio madarakani kama ikidhihirika walikosea katika kumpitisha kiongozi husika au wakipoteza nguzo inayowalinda ambayo ni uhai wa taifa. Nchini Tanzania kundi la “deep state” halizidi watu 50 katika wakati wowote.
Duuh!
 
Deep state has done it again
FB_IMG_1616033572533.jpg
 
Visivyojulikana ni vingi sana,namimi nimewahi kufikiria hayo yanayosemwa,kua nchi hii,na baadhi,kuna watu wana maamuzi zaidi ya Rais.
mbona wapo muda mrefu sana. na ubaya ni kwamba watanzania wengi hawwafaham hawa watu. ila wapo.. japokuwa mmoja wao aliondoka juzi juzi. wamebaki wachache
 
Kuna video moja niliangalia YouTube,Kuna former US Government official kwenye serikali ya Bill Clinton (I think alikuwa one of the advisers wa Bill Clinton).Anasema kuna siku kipindi hicho rais Clinton alikuwa anataka ku sign executive order kuruhusu CIA and Pentagon watoe classified files kuhusu UFO and Alien existence ili Clinton aeweze kuwa full briefed kuhusu classified UFO files.Sasa kuna Afisa mmoja wa wa juu wa pentagon alimtembea nyumbani kwake akawa anamwambia akamshauri rais Clinton aachane na mpango wake kwani anasikitika watashindwa kumlinda na ataishia kama JF Kennedy,yaani kupigwa risasi/kuuawa.Anasema alikuwa anaskia tu kuhushu deep state lakini siku hiyo ndio aliamini kuna watu wana run America above president.
Yaani Deep State wanaamini president wa US ni temporary Employee,hivyo hatakiwi kujua kila kitu wala hatakiwi kuambiwa kila kitu.Kuna some top secret national security plans and infos presedent hatakiwi kuambiwa wala kujua na siku akijua wanam neutrolize chap.Jamaa anakwambia alienda kumwambia Clinton kwamba aachane na mpango wake.Ndio hadi leo unaskia mambo ya UFO yanabaki kuwa speculations tu ila kuna watu wachache huko Pentagon na CIA wanajua issue nzima..."DEEP STATE EXIST" wala sio conspiracy.
Ukiingalia Series ya Salvation... Inaeleza haya kwa upande wa siasa... Yaani kuna nguvu pembeni yenyewe ndio inaamua nani awe kiongozi kwa namna wajuavyo... Binafsi naamini kwamba hakunaga kitabu ama movies inatengenezwa nje ya mfano halisi wa maisha halisia...
Ili uweze kutengeneza wazo jipya... Basi lazima kuwepo na wazo halisia lililopata kuwepo
 
Ukiingalia Series ya Salvation... Inaeleza haya kwa upande wa siasa... Yaani kuna nguvu pembeni yenyewe ndio inaamua nani awe kiongozi kwa namna wajuavyo... Binafsi naamini kwamba hakunaga kitabu ama movies inatengenezwa nje ya mfano halisi wa maisha halisia...
Ili uweze kutengeneza wazo jipya... Basi lazima kuwepo na wazo halisia lililopata kuwepo
Kabisa mkuu...pia nitaitafuta hii series niicheki,Napenda sana story za aina hiyo...
 
Back
Top Bottom