EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #21
Yeah katika uhalisia Jews runs US na ukitaka kujua angalia Congress na Senate zimejaa hawa jamaa achilia mbali mabank, media, Hollywood, entertainment industries. Sio INTEL, FB, IG wamejaa waoNasikia "eti" kwa USA hawafiki hata 7...hawaingii kwenye bunge lolote, hawana mihula ya uongozi, hawapigi kura yoyote katika kumchagua rais, ila wakisema hautakuwa rais kamwe usijisumbue na hata wakikuingiza kwenye urais ukakosea ukagusa maslahi yao basi "unaisha" haraka!
Kama zilivyo conspiracy theories nyingine USA wanadai ni wayaudi...wengine eti ni wakatoliki flan hivi wanaolindwa na vatican...
Nanogesha tu story jamani!
Na bongo pia wapo wanafanya kazi very remotely, ukijifanya mjuaji wakikaa vikao vyako wanakusongesha tu