What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Son of peasant,
What do you mean by AFTER ROLL??????? Did you intend to write after all or?????? hebu tuonyeshe umakini wako hapa
 
mh mbunge wa jimbo la kawe saizi anazungumza na wananchi hapa tegeta na kuna umati mkubwa sana wa watu ambao wamejitokeza kumsikiliza anaeleza bajeti iliyotengwa kwa ajili ya jimbo
 
Toa maelezo yaliyokamilika maana sijapata point ili nijue ujio wake mkuuu kwa wananchi na hitimisho la matatizo yao!!!????????
 
Hiyo haswaaa ndiyo kazi ya MBUNGE. Kuwaeleza wananchi utekelezaji wa kile alichoagizwa pamoja na kujadiliana nao namna ya kutatua kero mbalimbali. Big up mdada.
 
hivi mtu akisema halima anahutubia mkutano tegeta inakua hainogi eh?? maana kama kunguruma basi akimaliza hpo atakua amechoka kweli na koo linauma
 
Sauti ya Mdee haina tofauti na sauti ya kiume?labda kwa sababu sauti yake inamikwaruzo mwandishi alidhan ananguruma!

Hahahahha ! Demu ataunguruma vipi? Au anaungurumishwa! Wao hulalamika hawaungurumi! Utasikia wakilalamika hivi aaaah!
 
Mzee wa Posho sikuwa na maana ya kukuunga mkono ila umenifanya nicheke vibaya sana ..Ghooooshiiitt,YEeeeeees..

Piga kazi Halima ili utukomboe huko haswa wavamizi wa ardhi yetu na tuviwanja twetu..big up saaaana,hunguruma mama!
 
Big up kamanda unajua kazi za mbunge, Magamba wao kutoa misaada waache ubunge wawe wafadhiri wa serikali.
 
Hahahahha ni jike dume! Demu ataunguruma vipi? Au anaungurumishwa! Wao hulalamika hawaungurumi! Utasikia wakilalamika hivi aaaah! Ooooh! Yaaaalaaa! Mmmmmh! GhOooooshi!yEeeeees! No no no no yes yes yes.mmmmmh.....!!
Wahi Mirembe, hayo ndio madhara ya kuwa teja.
 
Nimependa sana hii strategy ya sasa ya CHADEMA kutawanyisha Makamanda wetu wa ukweli kila kona ya nchi na Dr wa Ukweli kuja kusawazisha issue nzima kotekote tangu kukamilishwe mauaji ya Makada kibao wa CHADEMA kule Igunga.

Hongereni Sana Makamanda Chiku Abwao, Tundu Lissu, Godbless Lema na sasa Halima Mdee. Mwendo mdundo kwa makamando wote wote bila kurundikana kumoja.

Mhe Heche, jeshi la BAVICHA nalo kama kawaida mkuu bila kuchelewesha maana sasa ndiko siko tena!!! Lakini mambo yote safari hii ni kimya kimya bila kupiga mayowe kama kumkimbiza kibaka vile hadi ndani ya chumba kwenye kituo cha polisi.
 
Safi sana dada mdee,tekeleza ilani ya uchaguzi ya magamba ambayo ndo yako madarakani.
 
hivi mtu akisema halima anahutubia mkutano tegeta inakua hainogi eh?? maana kama kunguruma basi akimaliza hpo atakua amechoka kweli na koo linauma
Yupo sahihi, kuunguruma kuna kishindo na hivyo kishindo hicho cha kuunguruma simba amekifananisha na Mdee alivyofanya. Hivi ingeandikwa Nape aunguruma ungehoji?
 
Back
Top Bottom