What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Huyu dada mpaka sasa hajafanya lolote kawe, anatuletea u sister du tu. Mfikishieni salamu , hatutaki utani sie tunataka maendeleo ndio maana tukamchagua

wewe umefanya nini tangu uwe peremende ya RA..?
 
Kuna habari kuwa kutokana na document ambayo mlalamikaji jimbo la kawe kuhusu kesi ya ubunge ameiandaa na kuiwasilisha mahakamani namna ilivyoandaliwa, wachunguzi wa mambo ya siasa wanasema HM yupo kwenye hatihati ya kudondoka. Kuna vipengele vingi vilikikukwa katika kampeni zake.

kwa hiyo kuna hatari ya udsm na aru kufungwa tena?
 
Kuna habari kuwa kutokana na document ambayo mlalamikaji jimbo la kawe kuhusu kesi ya ubunge ameiandaa na kuiwasilisha mahakamani namna ilivyoandaliwa, wachunguzi wa mambo ya siasa wanasema HM yupo kwenye hatihati ya kudondoka. Kuna vipengele vingi vilikikukwa katika kampeni zake.

Nyie ndo tunasema mnaota mkiwa mnatembea. Hilo halipo na hata kama akiangushwa ni swala la uchanguzi kurudiwa na atashinda kwa kishindo hadi wakose cha kufanya.
 
Huyu dada mpaka sasa hajafanya lolote kawe, anatuletea u sister du tu. Mfikishieni salamu , hatutaki utani sie tunataka maendeleo ndio maana tukamchagua
Tumia japo akili kidogo basi wewe ndungu. Hivi ulitaka afanye kitu gani kikubwa kwa miezi hii miwili tu tangu awe mbunge wetu wa KAWE ??????. Mpe muda kidogo basi ndipo um-judge ufanisi wake.
 
Ukitumia hata 10% ya ubongo wako utaondokana na uzembe wa thread za hivi. Unapoandika lete contents siyo vichwa vya habari . This is not udaku my bro plz
 
Bora apigwe chini ,unajua ubunge sio bungeni tuu wacha niwape tathmini ya Mdee mpaka sasa

-Tokea achaguliwe hajawahi kurudi jimboni kusema chochote wala shukrani wala asante
-Tokea achaguliwe Halima Mdee amekuwa mtu wa club na rafiki wa madada wa mjini
-Tokea achaguliwe amejisahau kabisa amejiona yeye ni mmoja wa madada mashuhuri hapa mjini na amejiunga na kina JD na mashangingi wengine wa mjini kuuza sura kwenye media na wanawake na maendeleo
-Hakuwepo kwenye mgomo wa wabunge wa CHADEMA Bungeni
-Hajasema chochote kutokana na matukio kadhaa yaliyotokea
1-Uchaguzi wa dhuluma wa mameya
2-Kipigo ch mbunge wa Arusha
3-Swala la Katiba mpya na mabadiliko tunayotaka
4-Tokea jana mpaka sasa hajasema chochote kuhusu mauaji ya Arusha
-Anatumia muda mrefu kutoa CHUNUSI zilizo usoni mwake kuliko kufanya kazi tuliyomtuma
-Hana ushawishi kwa wanaume zaidi amejijengea kambi ya kike na masister viwanja wa Dar
-Anatumia muda mrefu sana kutafuta mwanaume wa kumuoa
-Analea ma serengeti boy kama wanne hivi na wote hawana mpango nae

KUSEMA KWELI HANA MAANA NA NI BORA HIYO KESI ASHINDWE KABISA ILI UCHAGUZI URUDIWE NA CHADEMA WASIMAMISHE MTU MWINGINE KAWE KWANI HALIMA MDEE KASAHAU KAZI YAKE
 
UNAPOPATA NAFASI KUWA MBUNGE HASA MWANAMKE KATAIKA MFUMO DUME TULIO NAO NI LAZIMA UONYESHE KWELI WATANZANIA WAMECHAGUA MTU MAKINI NA ANAYEWEZA KUFANYA KAZI NAO NA KUWATETEA

ToKEA HALIMA MDEE ACHAGULIWE AMETUMIA MUDA MREFU KUFANYA HAYA YAFUATAYO

-KUJENGA URAFIKI NA MADADA WA VIWANJA KAMA KINA JIDE NA WENGINE
-KUTAFUTA SULUHISHO LA CHUNUSI ZILIZOJAA USONI MWAKE
-KUTAFUTA MWANAUME WA KUMUOA
-KULEA VISERENGETI BOY AMBAVYO HAVINA MPANGO NAE

HALIMA MDEE AMESAHAU HATA CHAMA KILICHOMUWEKA MADARAKANI KWANI

-HAKUSHIRIKI HATA KWENYE WALKING OUT YA BUNGENI ILIYOFANYWA NA WABUNGE WA CHADEMA BUNGENI ,ALIDAI ALIKUWA ANAUMWA LAKINI KWA UKWELI ALIKUWA NA MASHOSTITO WAKE WAKIPIGA HEINKEN NA KUANGALIA BUNGE KWENYE TV PALE 84 DODOMA
-HAJASEMA CHOCHOTE KUTOKANA NA MAUAJI YA ARUSHA ,YEYE ANAJIPANGA SASA HIVI KUELEKEA MZALENDO ,NA MAISHA CLUB HUKU AKIWA AMEZUNGUKWA NA MASHOSTITO WA KUFA MTU KAMA WIKI ILIYOPITA
-HAJASHIRIKI HATA KUSIMAMIA AU KUSEMA LOLOTE KUTOKANA NA UCHAGUZI WA UMEYA UNAOLETA MTAFARUKU NCHI NZIMA YEYE ANATUMIA MUDA MWINGI SALOON KUONDOA CHUNUSI NA KUTENGENEZA RASTA FEKI

WANAWAKE MNABOA SANA NA MNATUANGUSHA SANA TUKIWAPA MADARAKA MNAPIGA PODA .

NI BORA UCHAGUZI KAWE URUDIWE NA KESI YA UCHAGUZI KAWE HALIMA MDEE ASHINDWE KWANI HANA MAAAANA

NI BORA USHINDWE NA UBUNGE WA VITI MAALUMU UMEISHA URUDI KIJIJINI UKALIME NYAMBAFUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU;;
 
UNAPOPATA NAFASI KUWA MBUNGE HASA MWANAMKE KATAIKA MFUMO DUME TULIO NAO NI LAZIMA UONYESHE KWELI WATANZANIA WAMECHAGUA MTU MAKINI NA ANAYEWEZA KUFANYA KAZI NAO NA KUWATETEA

ToKEA HALIMA MDEE ACHAGULIWE AMETUMIA MUDA MREFU KUFANYA HAYA YAFUATAYO

-KUJENGA URAFIKI NA MADADA WA VIWANJA KAMA KINA JIDE NA WENGINE
-KUTAFUTA SULUHISHO LA CHUNUSI ZILIZOJAA USONI MWAKE
-KUTAFUTA MWANAUME WA KUMUOA
-KULEA VISERENGETI BOY AMBAVYO HAVINA MPANGO NAE

HALIMA MDEE AMESAHAU HATA CHAMA KILICHOMUWEKA MADARAKANI KWANI

-HAKUSHIRIKI HATA KWENYE WALKING OUT YA BUNGENI ILIYOFANYWA NA WABUNGE WA CHADEMA BUNGENI ,ALIDAI ALIKUWA ANAUMWA LAKINI KWA UKWELI ALIKUWA NA MASHOSTITO WAKE WAKIPIGA HEINKEN NA KUANGALIA BUNGE KWENYE TV PALE 84 DODOMA
-HAJASEMA CHOCHOTE KUTOKANA NA MAUAJI YA ARUSHA ,YEYE ANAJIPANGA SASA HIVI KUELEKEA MZALENDO ,NA MAISHA CLUB HUKU AKIWA AMEZUNGUKWA NA MASHOSTITO WA KUFA MTU KAMA WIKI ILIYOPITA
-HAJASHIRIKI HATA KUSIMAMIA AU KUSEMA LOLOTE KUTOKANA NA UCHAGUZI WA UMEYA UNAOLETA MTAFARUKU NCHI NZIMA YEYE ANATUMIA MUDA MWINGI SALOON KUONDOA CHUNUSI NA KUTENGENEZA RASTA FEKI

WANAWAKE MNABOA SANA NA MNATUANGUSHA SANA TUKIWAPA MADARAKA MNAPIGA PODA .

NI BORA UCHAGUZI KAWE URUDIWE NA KESI YA UCHAGUZI KAWE HALIMA MDEE ASHINDWE KWANI HANA MAAAANA

NI BORA USHINDWE NA UBUNGE WA VITI MAALUMU UMEISHA URUDI KIJIJINI UKALIME NYAMBAFUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU;;


Nakubaliana na wewe mwana wa mkulima ,ni bora apigwe chini hana maana kabisa na hive wale MASHOSTITO wengine wa CHADEMA ambao waliteuliwa viti maalumu wako wapi aua ndio nao bure kabisa au kweli ni vipoozeo vya MBOWE?? mbona hawaji kwenye maandamano?mbona hawasemi chochote kutokana na mauaji na mateso yanayoendelea au ndio MAPOWDER WANAJIPODARI ALWAYS WAMVUTIE CHEAMAN..WAooooooooooooooooooo CHADEMA MASISTER DUUU WANAWAANGUSHA AISEE WOCHIN AUTI.
 
UNAPOPATA NAFASI KUWA MBUNGE HASA MWANAMKE KATAIKA MFUMO DUME TULIO NAO NI LAZIMA UONYESHE KWELI WATANZANIA WAMECHAGUA MTU MAKINI NA ANAYEWEZA KUFANYA KAZI NAO NA KUWATETEA

ToKEA HALIMA MDEE ACHAGULIWE AMETUMIA MUDA MREFU KUFANYA HAYA YAFUATAYO

-KUJENGA URAFIKI NA MADADA WA VIWANJA KAMA KINA JIDE NA WENGINE
-KUTAFUTA SULUHISHO LA CHUNUSI ZILIZOJAA USONI MWAKE
-KUTAFUTA MWANAUME WA KUMUOA
-KULEA VISERENGETI BOY AMBAVYO HAVINA MPANGO NAE

HALIMA MDEE AMESAHAU HATA CHAMA KILICHOMUWEKA MADARAKANI KWANI

-HAKUSHIRIKI HATA KWENYE WALKING OUT YA BUNGENI ILIYOFANYWA NA WABUNGE WA CHADEMA BUNGENI ,ALIDAI ALIKUWA ANAUMWA LAKINI KWA UKWELI ALIKUWA NA MASHOSTITO WAKE WAKIPIGA HEINKEN NA KUANGALIA BUNGE KWENYE TV PALE 84 DODOMA
-HAJASEMA CHOCHOTE KUTOKANA NA MAUAJI YA ARUSHA ,YEYE ANAJIPANGA SASA HIVI KUELEKEA MZALENDO ,NA MAISHA CLUB HUKU AKIWA AMEZUNGUKWA NA MASHOSTITO WA KUFA MTU KAMA WIKI ILIYOPITA
-HAJASHIRIKI HATA KUSIMAMIA AU KUSEMA LOLOTE KUTOKANA NA UCHAGUZI WA UMEYA UNAOLETA MTAFARUKU NCHI NZIMA YEYE ANATUMIA MUDA MWINGI SALOON KUONDOA CHUNUSI NA KUTENGENEZA RASTA FEKI

WANAWAKE MNABOA SANA NA MNATUANGUSHA SANA TUKIWAPA MADARAKA MNAPIGA PODA .

NI BORA UCHAGUZI KAWE URUDIWE NA KESI YA UCHAGUZI KAWE HALIMA MDEE ASHINDWE KWANI HANA MAAAANA

NI BORA USHINDWE NA UBUNGE WA VITI MAALUMU UMEISHA URUDI KIJIJINI UKALIME NYAMBAFUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU;;


Personal au ina ukweli ndani yake??? Kama kweli hongera mdau, inaelekea muda wako mwingi unaupoteza kufuatilia maisha ya huyu binti...mbele zaidi, huwa mnaitwa stalkers,gonga hapa Stalking Behavior kwa
ufahamu wa tabia hiyo...na ni kosa kisheria, sijui hapa kwetu Tz...teh! teh! teh!
 
Cijaona logical thnking...Jiandae tena. Umeropoka madudu 2pu.

NA WEWE NI SERENGETI BOY WAKE NINI AU SHOSTITO MAANA NAONA MTOTO WA MKULIMA AMEKUGUSA Daaa;;KUMBE MPO HUMU JAMAA KASEMA KWELI TUPU SIONI DOUGHT YOYOTE ILA WEWE DUU UPUPU MZEE
 
Mkuu... Naona una jazba sana jaribu kuzipunguza, najua kilicho kukera toka kwa huyu dada, sio we pekee yako bali karibia % kubwa ya wakazi wa jimbo la Kawe wamekuwa hawamuelewi kabisa huyu dada toka aliposhinda ubunge amebadilika sana. Hata hivyo kwa upande wangu sina sababu ya kutaka ashindwe kwenye kesi yake. Tulimpatia kazi na tunasubiri utekelezaji wake tu....
 
Bora apigwe chini ,unajua ubunge sio bungeni tuu wacha niwape tathmini ya Mdee mpaka sasa

-Tokea achaguliwe hajawahi kurudi jimboni kusema chochote wala shukrani wala asante
-Tokea achaguliwe Halima Mdee amekuwa mtu wa club na rafiki wa madada wa mjini
-Tokea achaguliwe amejisahau kabisa amejiona yeye ni mmoja wa madada mashuhuri hapa mjini na amejiunga na kina JD na mashangingi wengine wa mjini kuuza sura kwenye media na wanawake na maendeleo
-Hakuwepo kwenye mgomo wa wabunge wa CHADEMA Bungeni
-Hajasema chochote kutokana na matukio kadhaa yaliyotokea
1-Uchaguzi wa dhuluma wa mameya
2-Kipigo ch mbunge wa Arusha
3-Swala la Katiba mpya na mabadiliko tunayotaka
4-Tokea jana mpaka sasa hajasema chochote kuhusu mauaji ya Arusha
-Anatumia muda mrefu kutoa CHUNUSI zilizo usoni mwake kuliko kufanya kazi tuliyomtuma
-Hana ushawishi kwa wanaume zaidi amejijengea kambi ya kike na masister viwanja wa Dar
-Anatumia muda mrefu sana kutafuta mwanaume wa kumuoa
-Analea ma serengeti boy kama wanne hivi na wote hawana mpango nae

KUSEMA KWELI HANA MAANA NA NI BORA HIYO KESI ASHINDWE KABISA ILI UCHAGUZI URUDIWE NA CHADEMA WASIMAMISHE MTU MWINGINE KAWE KWANI HALIMA MDEE KASAHAU KAZI YAKE

Mwenye WIVU ajinyonge jama,mwenye wivu ajinyongee
 
mh nahisi kama mtakua mnamokosea sijategema wa jf muwe na umakini wa kuangalia back side hebu tuanze kufuatilia toka mwanzo mpaka sasa je hayo yana ukweli
 
Wise men talk because they have something to say, ****** talk because they have to say something!!!!
 
:shut-mouth:


Usifunge mdomo sister,mtoto wa mkulima anasema ukweli kabisa,mimi naamini mbunge ana muda mrefu sana nje ya bunge na anatakiwa kufanya kazi kubwa sana nje ya bunge kuliko bungeni tizama,bunge refu ni bunge la bajeti na hapo wanajadili bajeti kwa asilimia 90 na mabunge mengine ni mafupi mafupi hivyo tunamtegemea mbunge afanye mambo mengi zaidi akiwa mtaani kuliko bungeni

Halima Mdee na wale mabinti wote wa CHADEMA ni wapuuzi na hawajaonyesha uwezo wao kwa kipindi hiki hawqatofautiani sana na wabunge wengi wa CCM ambao wengi utakutana nao Dubai na Singarpore wakifanya shopping za nguo za kuingia bungeni.

Hawa wabunge wa CHADEMA hata juzi kwenye maandamano haakuwemo,Halima Mdee kama mbunge wa muda alitakiwa aonyeshe mfano sasa yeye amefanya Club ndio kwake kila wikend ana skendo club na anatumia hela nyingi sana kuzima skendo hata mii naogopa kuziweka hapa kwani zimezimwa kwa gharama kubwa.

Halima acha utani hii kesi ukishindwa utakuwaq umepotea kisiasa kabisa na ni nakuhakikishia hao mashostito wa bongo hawana mpango watakukimbia mara moja,jipange fanya kazi sisi wananchi wa Kawe tunakuamini ila ukimya wako unatutisha TUTAKUTOSA NA UTASHANGAA;;
 
unapopata nafasi kuwa mbunge hasa mwanamke kataika mfumo dume tulio nao ni lazima uonyeshe kweli watanzania wamechagua mtu makini na anayeweza kufanya kazi nao na kuwatetea

tokea halima mdee achaguliwe ametumia muda mrefu kufanya haya yafuatayo

-kujenga urafiki na madada wa viwanja kama kina jide na wengine
-kutafuta suluhisho la chunusi zilizojaa usoni mwake
-kutafuta mwanaume wa kumuoa
-kulea viserengeti boy ambavyo havina mpango nae

halima mdee amesahau hata chama kilichomuweka madarakani kwani

-hakushiriki hata kwenye walking out ya bungeni iliyofanywa na wabunge wa chadema bungeni ,alidai alikuwa anaumwa lakini kwa ukweli alikuwa na mashostito wake wakipiga heinken na kuangalia bunge kwenye tv pale 84 dodoma
-hajasema chochote kutokana na mauaji ya arusha ,yeye anajipanga sasa hivi kuelekea mzalendo ,na maisha club huku akiwa amezungukwa na mashostito wa kufa mtu kama wiki iliyopita
-hajashiriki hata kusimamia au kusema lolote kutokana na uchaguzi wa umeya unaoleta mtafaruku nchi nzima yeye anatumia muda mwingi saloon kuondoa chunusi na kutengeneza rasta feki

wanawake mnaboa sana na mnatuangusha sana tukiwapa madaraka mnapiga poda .

Ni bora uchaguzi kawe urudiwe na kesi ya uchaguzi kawe halima mdee ashindwe kwani hana maaaana

ni bora ushindwe na ubunge wa viti maalumu umeisha urudi kijijini ukalime nyambafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu;;

you are thick and blocked everywhere
 
Back
Top Bottom