Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,050
- 656
Ndoto za mchana hizi
Kuna habari kuwa kutokana na document ambayo mlalamikaji jimbo la kawe kuhusu kesi ya ubunge ameiandaa na kuiwasilisha mahakamani namna ilivyoandaliwa, wachunguzi wa mambo ya siasa wanasema HM yupo kwenye hatihati ya kudondoka. Kuna vipengele vingi vilikikukwa katika kampeni zake.