Mama Porojo, Maralia Sugu, tandale one, yaani signature nyinginyingi tu, kesho utasema unaishi tandale kwa tumbo ooh mbunge wangu Mnyika, wiki ijayo utakuja na ile ya kike uliyoweka kapicha ka kuvutia utajifanya unaishi Arumeru. In short hamtawabadili mtazamo watanzania kwa JF, face book na hii mitandao ya jamii. Mwambie nape asimamie serikali yake kutekeleza ilani yao ya 2010. Hilo ndilo jibu, kushindwa hilo ndio anguko lenyewe, kumsakama Halima Mdee haitawasaidia, wapiga kura wameelimika. M4C daima, "Changes are innevitable, if you do not change, change will change YOU". Nape anajua, Mukama anajua, ila wanawaficha tu. Ndio maana leo tuna vyama vingi, unadhani CCM ilipenda vyama vingi, ililazimishwa na wind of change. Mwambie ndugu yako Komba, kama alifikiri alikuwa anaimba tu kuburudisha hadhira, basi hiyo ndio maana yake "The wind of change is sweeping accross the african continent. In fact is in Tanzania for real.