Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,019
- 580
Je, ndugu yangu hili swali ulishamuuliza Waziri wa Ardhi??
Na alikujibu vipi,
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
Uhakika nilio nao, Waziri wa ardhi alifika Tegeta Kisanga yeye mwenyewe, akaongea na wananchi akiwahakikishia kwamba kila kitu kitanyooka. Lakini wapi! Mpaka leo wanaenda Bungeni, halafu, si umemsikia akieleza ya Kigamboni pale Jangwani, ulisikia akisema eneo lingine? Sijui kama nimekuelewa, maswali anaulizwa sana kwenye mikutano lakini majibu ni politcs tu!