Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,471
Mkuu umekaa na UTAWALA WA CCM miaka zadi ya 45 hukupata hayo maji sasa unataka MDEE akupe maji kwa muda wa Miaka 2.
Yeye ndiye WAZIRI WA MAJI.?...Biohazard...nadhani mtu aliyebuni kuwepo na kitu kinachoitwa bungwe alitumia busara sana. Sidhani kama wananchi wote tungekusanyika kwenye ofisi ya waziri wa maji au ofisi ya manispaa kupeleka kero zetu. Halima ametumwa na tuliompigia kura anawajibika kwetu 100% hiyo haina ubishi. Kuzungumza bungeni peke yake sio lengo anatakiwa kufuatilia na kutupa taarifa tuliomtuma ili kujua wapi amekwama na tufany nini? anapokaa kimya eti ameongea bungeni haina maana. Magamba kwa miaka 47 walishindwa kufanya na ndio maana tukasema basi na wao. Je na hawa nao tukae kimya mpaka wafikishe miaka 47? Hapana!!
Kinachonishangaza mie ni kwamba unadai umepoteza kura yako wakati ni miaka miwili tu. Bado mapema kumbeza Halima...Kuna mambo magumu sana wanayopitia wabunge wetu hasa wa upinzani.... Wanashindwa kupinga Bajeti yetu ya MAJI, UJENZI nk sababu ya uchache wao sasa cjui unataka wapigane Bungeni ili Makongo juu nayo iwemo kwenye mgao wa kupata maji katika bajeti?
Mie nadhani Fungu lenu huwa linakuwemo kwenye bajeti ila kuna mambo mawili huwa ambayo Serikali yako DHAIFU inafanya na Halima amekua akifuatilia kwa ukaribu zaidi ya unavyofikiria.
1. Fedha kutumika katika mradi mwingine kwa mapenzi ya Mkurugenzi wa Halmashauri. yani Re allocation
2. Fedha kutokufika katika Halmashauri husika.... Hii kasumba inanifurahisha sana... Wadau wanasema katika Miradi mingi fedha zinazofika katika Halmashauri hata kfikia ROBO ya fedha kamili iliyoainishwa kwnye BAJETI ni ishu.
LAWAMA ITUPIE WIZARA YAKO HIYO na BAJETI DHAIFU pa moja na watendaji DHAIFU wa HALMASHAURI