What happens, sielewi..!

What happens, sielewi..!

Umri wako please na umri wa ndoa tunaomba tufahamu. vinginevyo umeongea kiujumla.

Bado miaka 30 ili awe msaafu, kwa hiyo chukua umri wa mfanyakazi wa Tanzania kustaafu halafu toa miaka 30 utaupata umri wake.
 
jiweke kwenye nafasi yake ,, halafu ungechukua uamuzi gani? huo uamuzi utakaochukua jua the same itakuwa na kwako...

umemchoka wewe

apo kwenye red, namimi nahisi hilo ndio tatizo la mleta uzi. It might be attributed to kukosa hiyo 'dream life' yake ambayo naona ameweka highest expectation!
 
[/color]

[/color]Naona mnafagilia michepuko......sex and food are quite different. Kubadilisha Partner si kubadilisha radha,ni ubinafsi wa moyo tu hupelekea kutamani mwingine lakini mambo mengine yote yanabaki kuwa constant.......

Hapana, mimi sifagilii michepuko.

Nimeongea kile ninachoamini ndo ukweli ingawa watu ni ama hawataki kuukiri au wanaogopa kuhukumiwa na jamii endapo wakikiri.

Haiingii akilini mwangu kwamba sijui mtu afunge ndoa akiwa kwenye miaka ishirini na kitu halafu kwa maisha yake yote eti awe anadinyana na mtu mmoja tu.

Nilizaliwa usiku lakini si jana usiku. Mimi ni mhalisia.
 
I see, so in a few years I'll be screwing another a**! Whoosh!

Well, that's entirely up to you.

You can buck nature and stick to your one and only woman.

As for me, I ONCE FELL IN LOVE WITH A STRIPPER. BUT FUNNY THING IS I FELL BACK OUT OF LOVE QUICKER.

Hahahaaaaaa.....stupid is as stupid does.
 
Halafu hayo madream hausi sojui manini.....

Mwache mwanaune awe mwanaume.......... hebu yaache mikomoni mwake kwa muda....... wewe enjoy ndoa yako muappreciate na muongoze kwa njia sahihi.....
 
As for me, I ONCE FELL IN LOVE WITH A STRIPPER. BUT FUNNY THING IS I FELL BACK OUT OF LOVE QUICKER.
.

Hahaha... Couldn't hold myself, i just laughed..teh teh! Did you know that she was a stripper beforehand?
 
Kwa wanandoa wa muda mrefu haya ni mambo ya kawaida sana...ndiyo ups & down zenyewe .....jaribuni kubadilisha mazingira mliyoyazoea...nendeni sehemu tofauti kabisa na nyumbani then take your time and enjoy....
 
Hapana, mimi sifagilii michepuko.

Nimeongea kile ninachoamini ndo ukweli ingawa watu ni ama hawataki kuukiri au wanaogopa kuhukumiwa na jamii endapo wakikiri.

Haiingii akilini mwangu kwamba sijui mtu afunge ndoa akiwa kwenye miaka ishirini na kitu halafu kwa maisha yake yote eti awe anadinyana na mtu mmoja tu.

Nilizaliwa usiku lakini si jana usiku. Mimi ni mhalisia.

Inapendeza kuwa Mkweli......unapooamua kufunga ndoa ni kwamba umeona yatosha sasa katika wote huyo ndiyo anafaa na haina haja ya kuwa na mwingine ndiyo maana ikaitwa life commitment kwahiyo mpaka mtu anafunga ndoa amefanya uamuzi wa kutosha kajihoji mwenyewe na kukubali kwamba ataweza kuendelea na mmoja.....tatizo sikuhizi watu tunaingia kwenye ndoa bila ya kujihoji na kujipeleleza vya kutosha.........kiukweli ni ubinafsi na tamaa ya mwili tu inayotuongoza kudinyana na mwingine kwa maana mwisho wa siku hakuna linalobadilika utakojoa vile vile na dereva ni wewe ufurahie au usifurahie.
 
Inapendeza kuwa Mkweli......unapooamua kufunga ndoa ni kwamba umeona yatosha sasa katika wote huyo ndiyo anafaa na haina haja ya kuwa na mwingine ndiyo maana ikaitwa life commitment kwahiyo mpaka mtu anafunga ndoa amefanya uamuzi wa kutosha kajihoji mwenyewe na kukubali kwamba ataweza kuendelea na mmoja.....tatizo sikuhizi watu tunaingia kwenye ndoa bila ya kujihoji na kujipeleleza vya kutosha.........kiukweli ni ubinafsi na tamaa ya mwili tu inayotuongoza kudinyana na mwingine kwa maana mwisho wa siku hakuna linalobadilika utakojoa vile vile na dereva ni wewe ufurahie au usifurahie.


Umeeleza vizuri everlenk, it's a lifetime commitment na sio vinginevyo, ups and downs lazima ziwepo vile hamna mkamilifu lakini inabaki kuwa ndoa na lazima wanandoa waiheshimu.
 
Last edited by a moderator:
Inapendeza kuwa Mkweli......unapooamua kufunga ndoa ni kwamba umeona yatosha sasa katika wote huyo ndiyo anafaa na haina haja ya kuwa na mwingine ndiyo maana ikaitwa life commitment kwahiyo mpaka mtu anafunga ndoa amefanya uamuzi wa kutosha kajihoji mwenyewe na kukubali kwamba ataweza kuendelea na mmoja.....tatizo sikuhizi watu tunaingia kwenye ndoa bila ya kujihoji na kujipeleleza vya kutosha.........kiukweli ni ubinafsi na tamaa ya mwili tu inayotuongoza kudinyana na mwingine kwa maana mwisho wa siku hakuna linalobadilika utakojoa vile vile na dereva ni wewe ufurahie au usifurahie.

Hilo la life commitment ni la kufikirika zaidi kuliko uhalisia wenyewe.

Wanandoa kibao tu wanatoka nje ya ndoa zao.

Kubaki na mtu mmoja milele ni ngumu mno...kwanza naona kama vile haiwezekani.

At some point utataka tu kuonja mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom