johnsonspy
Member
- Jul 15, 2015
- 16
- 3
Pole sana dada.
Ulimpa dawa gani?
watu huchoka daily routine
akipata mchepuko anasisimka
Ulimpa dawa gani?
watu huchoka daily routine
akipata mchepuko anasisimka
Nilimuonea aibu maana ni mtu mzima mnoo na hata sijamzoea kihivyo sijui ilikuwaje akafunguka vile kwangu, nilibaki nimepigwa na bumbuwazi tu, hata sikumshauri kitu.
Juzi nilikuwa naongea na mdada mmoja wa kutoka Congo kuhusu hilo hilo suala.
Yeye akawa anasema kama watu wameboreka na hali iliyopo kwa nini wasifanye ubunifu ili kurudisha hamu.
Mimi nikamwambia kwamba hata wabadili nini mwisho wa siku watabaki kuwa ni watu walewale wawili wanaofanya vitu ambavyo wanadhani ni tofauti na hiyo sidhani kama inasaidia.
Inafika wakati mtu unakuwa na hamu tu ya kumuonja mtu mwingine....uusikilizie mwili wake, unuse harufu yake, na kadhalika.
Variety is the spice of life.
Dada wa Congo...alkuwa hapa JF zamani kidogo?
Acha nipite maana sina vigezo vya kukushauri
Isije kuwa alikuwa anakutongoza hukumuelewa
Juzi nilikuwa naongea na mdada mmoja wa kutoka Congo kuhusu hilo hilo suala.
Yeye akawa anasema kama watu wameboreka na hali iliyopo kwa nini wasifanye ubunifu ili kurudisha hamu.
Mimi nikamwambia kwamba hata wabadili nini mwisho wa siku watabaki kuwa ni watu walewale wawili wanaofanya vitu ambavyo wanadhani ni tofauti na hiyo sidhani kama inasaidia.
Inafika wakati mtu unakuwa na hamu tu ya kumuonja mtu mwingine....uusikilizie mwili wake, unuse harufu yake, na kadhalika.
Variety is the spice of life.
Naona mnafagilia michepuko......sex and food are quite different. Kubadilisha Partner si kubadilisha radha,ni ubinafsi wa moyo tu hupelekea kutamani mwingine lakini mambo mengine yote yanabaki kuwa constant.......Exactly the point
watu hawasisimki kuvaa nguo ile ile kila siku
but ukiwapa nguo mpya wanasisimka kupita maelezo
food the same,hata sex partner pia
Exactly the point
watu hawasisimki kuvaa nguo ile ile kila siku
but ukiwapa nguo mpya wanasisimka kupita maelezo
food the same,hata sex partner pia
Dada wa Congo...alkuwa hapa JF zamani kidogo?
Are you suggesting that humans are polygamists in nature??