Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
Hah
Diva yule sijui ni mutoto ya wapi ila yupo safi kwenye mahaba matata 🙂
hahaha una maneno!Dooh kumbe Kasie mahaba watu wanajua mie ndo Diva kipindi cha mahaba aahahahahhahahahaaa
Jamani naomba ieleweke wazi, Kasie sio mtangazaji wa kipindi chochote kile cha radio, kazi yangu ni umesenja kwwnye kampuni ya makaburu hukoo mamtoni. Kwani huyo diva ni chotara wa kinyamwezi kama Kasie?
Anyways am not her.
Am Kasinde aka Kasie Mahaba Matata.
Diva yule sijui ni mutoto ya wapi ila yupo safi kwenye mahaba matata 🙂