Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
Hahah 2007 ile walizingua sana, imekaa ki game game .zaidiEeeh bwana sijawahi cheza game ya mpira ngumu kama ile.
Unaweza kufungwa hata magoli kumi kabisaa.
Fifa ni rahisi sanaa, kuna ile ya 97 ina hadi Tanzania.
Hiyo sijawahi cheza hata kidogo. Game za magari na action