What do you wish for 2019 Christmas?

Ungenipa na dollar mia ningefurahi zaidi.

Hilo ni jambo dogo sana, huyu hapa (chini) atalitatua na kuzidi... Mtumie PM namna ya kufanikisha huo muamala.

Kabanga please meet Miss Ntatafuta's needs... hundred dollars.

Matata the K.
 
acha tuungane kutimiza haja za memba wengine, yangu itakua ya mwisho
 
Nakuombea afya njema irejee kwako, laah kama kuna matibabu unayapata basi endelea pia jitahidi kuzingatia milo sahihi itayowezesha afya yako kuwa njema.

Happy Festive Season.
Ahsante, mimi ni mzima wa afya sina matibabu nayopata sema hakuna ajuaye kesho yake mara leo mzima ghfla kesho tu nikapatwa na maradhi.
 
Tatizo anamiliki wanawake wawili na pesa ya kutosha hana, hawezi kukaba magoli yote kwa wakati mmoja amani anaipataje


Aahahahahaa ndo inabidi spate akili ya kutafuta hela zaidi ili awe na wote na apate mahaba kutoka kote kuwili....

Mahaba shata shata shurti ayagharamie... Apambane tuu na hayo mahaba yatakjwa sehemu ya furaha yake.
 
My wish..!!

To be with my S..

S wherever you are, please meet yna's wishes...

Am praying wherever S is to feel the need to be with you on this festive season.
 
Thanks for your time, nimesoma huku nafurahi, your a good writer by the way

Oooh thanks for sharing something beautiful to me

Before i say anything please listen

All i want this Christmas from Maria Carey

I Will save this comment and i Will go through tonight
 
I like your spirit Homie, hapo tuko pamoja bin bega kwa bega.

Mahaba robo tatu kwako vile wewe ni binamu yangu.... Ila shemeji yako Babu Asprin asisikie eehehehehe
asante sana homie, ila huyo mzee kuwa nae makini sana ana mke na michepuko ya kutosha humu.
 
Ahsante, mimi ni mzima wa afya sina matibabu nayopata sema hakuna ajuaye kesho yake mara leo mzima ghfla kesho tu nikapatwa na maradhi.
ooh hapo nimekuelewa kuwa kwa msimu wote huu wa sikukuu za Krismas na Mwaka Mpya una wish uwe na afya njema....

Great that's my wish too kuwa mzima mwenye afya telee.
 

Woow, if it's a dedication to me thank you so much am praying for your wish to come right to your door, its only one wish by the way you don't need more...

I see that you were happy to the way you forget to answer my question....

All I want for Christmas is ..........
 
asante sana homie, ila huyo mzee kuwa nae makini sana ana mke na michepuko ya kutosha humu.


Looh hapo ndo huwa simuelewi huyu Babu anatumia kizizi gani kutufumba macho...

Natambua sana kuwa humu ana mke na michepuko kibao ila sibanduki kwenye malabuku zake, nisaidie basi kunitoa kwake maana najiona nshafeli Homie...

You know we are cousins, don't let your cousin end up in polygamy relationship please....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…