Wezi wamenitenda vibaya, Msaada


Ni kweli kabisa kwangu mara kama tatu hivi nakuta mlango wa mbele haujafungwa kabisa, hivyo nimeweka alarm kila siku saa 4 lazima nikague milango mimi mwenyewe. KITUO
 
Fundi wajenzi wanatabia ya kugonga funguo kwenye sabuni wanaenda kuchonga kopi rait;
Hela lazima ulale nayo beneti heri ukose tendo la ndoa hela ilale kwenye bukta;
Hata Mimi nimejiuliza hela IPO sitting room wewe upo chumbani halafu umejiamini .


Hela unakua nayo muda wote tena ikiwa ndani hata ulinzi unaongezeka
 
Mkuu fatilia watu wanao kuja kuja nyumbani kwako mara kwa mara - na watu wame washauriwa kwamba vitu expensive msiwe mnaweka/display kwenye sebure viwekeni kwenye family room, kwenye ukumbi weka ki TV cha gharama ndogo na vitu vingine kama hivyo ambavyo si attractive kwa potential thieves.

Sasa suala lako tukija specifically mafundi wano kujengea nyumba au fundi mkuu wao kama ana kawaida ya kuja kuja nyumbani kwako - je, ni watu wangapi walijua siku hiyo ungetoa hela Benki za kuwalipa mafundi?
 
Pole sn mkuu. Naona una hasira. Ndio maisha na mitihani yake.
Mimi tangia jirani yangu aibiwe kwa kuchaniwa dirisha na kuibiwa pochi yenye hela na vitu vya dhahabu. Nikilala naweka hela kwenye drawer la kabati.
 
Heinken yako ya kuzimulia nayo wakanywa duh!
 
Wewe huo mchezo umechezwa ndani ya familia yako
Kwanini wasije siku zote waje siku ambayo unahela.

Sio kila kitu ushirikina,hapo ndio mnapopotezwa akilia.
Hii ni inside jobuuu,umepigwa kwa kuchongeshwa
 
USHAURI WA BURE! MSITHUBUTU KUWEKA MAKUFURI YA KUNING'INIA NDANI USIKU UKIWA UMELALA NI HATARI ZAIDI MOTO UNAPOTOKEA NI NGUMU KUFUNGUA ....TAFTENI MBADALA IKIWEMO KUJIRINDA NA KUWEKA VITASA ORIGINAL ....VIKINEVYO NI HATARI
 
Tabata kwa wizi si jambo la kuuliza wala kushangaa,

Tena hizo TVs ndio wanazipenda kweli yani.
 
Wakanywa na bia hao wez ni noumaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…