Wewe ni jinga sana kuliko woooote duniani. ushalishwa limbwata sio bure. hivi km una akili sawa sawa mkeo unaweza kulinganisha na Mamako mzazi? hapo huyo mkeo anakuombea ufe apate chake biashara iishe hlf unaongea utumbo eti hakuna km wife kilaza wewe kichwa chako ni maji tupu
Doto Dotto;
Aksante kwa kuniona tofauti ila huo ndio ukweli. Mjinga ni yule anayemhusudu mamake akasahau kuwa huyo ni mke wa babake. Babako asingali mpenda, nakuhakikishia weye usingelikuwepo. Kama ni limbwata kalishwa babako ndo maana yupo na mamako leo.
Hujui kuwa, unaweza kuvua nguo zoote, mchana ukalala hapo kitandani uchi wa mnyama kwa sababu ya joto tu na mkeo akapita hapo wala usijifunike kwa kiganja cha mkono. Lakini, endapo utaumia sehemu ya siri mamako akija chumbani kwako kukujulia hali, japo umejifunika ila moyo utakuuma sana kwa yeye kuingia chumbani kwako huku akijua umeumia sehemu gani??
Wewe ni wa ajab saana tena naona ni kiumbe kutoka sayari nyingine. Unaweza kumwonyesha mamako ulipo umia weye?? Mkeo ni bora mara elfu mama humtegemei. Hatuwalinganishi kihivyo unavyodhania. Hata yeye amezaa watoto wake wa kiume. Siku ya siku nao wataondoka na kwenda sakanya wa kuwapooza mioyo. Mke si kumlalia juu yake tu, hayo tukiyataka mbona yamejaa. Mke ni zaidi ya hayo, ni wewe. Yapo mambo yako anayajua, mamako hayajui