Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,747
- 12,462
pole sana dada/kaka yaani we acha tu mama ni nguzo muhimu sana hasa ukute ndo mmeshibana, mimi mtu niliyekutana naye ukubwani wala hanipi shidakaka peter msiba wa mama usikie kwa mwenzio, siku yaliponifika, sijawahi kupona jeraha la mauti yake. Kifo cha mama ambae mmeshibana ni msiba wa kila siku ndani nyoyo zetu.