Kesho saa nne nitakuwa nimeingia makao makuu ya nchi-Dodoma kwa shughuli zangu za kikazi,jioni ningependa nikutane na msichana yeyote wa JamiiForums aliyepo Dodoma, niweze kubadilishana mawazo na awe mwenyeji wangu kwa muda wa wiki mbili nitakazokaa huko.
Walio interested tu wani pm
Walio interested tu wani pm